kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
- Thread starter
- #101
Wewe una matatizo gani?, umeshapewa source ya hiyo news kwamba ni "International centre for Agriculture, Ulitaka nini zaidi?, hata kama ni Daily News lakini wameshakuambia wapi wametoa hiyo habari, maana yake kama huamini unaweza crosscheck na hiyo source.
Acha kukimbia ukweli, kataa sasa ni huyu a ayesema hamuwezi kujilisha mnategemea chakula cha Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Never quote a Tanzanian media here. Huko ni ujinga tupu uko.
International Centre for Agriculture can easily be a non-existent entity like the one that awarded your dictator Magufuli some phony peace award.
Also, reports by major international bodies are also quoted by credible media houses.