Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nami ninasubiri kujuaNimeona katika tangazo la kazi wizara ya afya Tamisemi, kuna nafasi za Clinical Asistsnts.
1. Hawa ndio akina nani na imeanzishwa lini ? Nijuavyo ngazi ya chini ya tabibu ni Clinical Officers....clinical medicine
Hao huitwa Assistant Clinical Officer(ACO). CO ni mwenye Diploma na ACO ni mwenye Certificate ni wa fani hyo hyo ya medicineNimeona katika tangazo la kazi wizara ya afya Tamisemi, kuna nafasi za Clinical Asistsnts.
1. Hawa ndio akina nani na imeanzishwa lini ? Nijuavyo ngazi ya chini ya tabibu ni Clinical Officers....clinical medicine
NB: Mganga sio wa koti jekundu ni wa koti jeupe!Doctor Dr. = Mganga
Clinical officer CO.= Tabibu
Assistant clinical officer ACO = Tabibu msaidizi
Ni Tanzania tu ndio kuna Clinical officer Duniani kote hii ilianzishwa kwa msukumo wa Rais . Nyerere ndio maana mnaona mnatumia nguvu kubwa kuiita tabibu wakati ni jina lenye maana ya Doctor..Doctor Dr. = Mganga
Clinical officer CO.= Tabibu
Assistant clinical officer ACO = Tabibu msaidizi
SawaNi Tanzania tu ndio kuna Clinical officer Duniani kote hii ilianzishwa kwa msukumo wa Rais . Nyerere ndio maana mnaona mnatumia nguvu kubwa kuiita tabibu wakati ni jina lenye maana ya Doctor..
Clinical officer inatambuliwa ndani ya Tanzania tu..
Plus AMONi Tanzania tu ndio kuna Clinical officer Duniani kote hii ilianzishwa kwa msukumo wa Rais . Nyerere ndio maana mnaona mnatumia nguvu kubwa kuiita tabibu wakati ni jina lenye maana ya Doctor..
Clinical officer inatambuliwa ndani ya Tanzania tu..
imeondolewa hiyo designationPlus AMO
Wanalazimisha kwa kuna NURSE mwenye diploma pia kwenye certificate ndio na wao wanafanya hivyo.. yaani mtu aliyesoma miaka 2Hiyo kozi ingefutwa tu sioni umuhimu wake wakat tayar una clinical officers
Nafahamu. Maana yangu ni kozi isiyotambulikaimeondolewa hiyo designation
Tabibu wa miaka miwiliNimeona katika tangazo la kazi wizara ya afya Tamisemi, kuna nafasi za Clinical Asistsnts.
1. Hawa ndio akina nani na imeanzishwa lini ? Nijuavyo ngazi ya chini ya tabibu ni Clinical Officers, Clinical Medicine
Mh! duni ya leo unasoma "medicine" miaka 3 unakwenda kumtibu nani. DR SANTOS nakumbuka zamani kulikuwa na RMA (Rural medical Aide) wakaifuta kuwa imepitwa na wakati kuendana na needs za afya ya watanganyik. sasa hii ina tofauti gani na RMA? Kama wewe ni MD kweli nijibu (maana JF kila mmoja anweza kuwa fulani)Tabibu wa miaka miwili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NB: Mganga sio wa koti jekundu ni wa koti jeupe!
Kwa maswali haya kasomee u dk tuNimeona katika tangazo la kazi wizara ya afya Tamisemi, kuna nafasi za Clinical Asistsnts.
1. Hawa ndio akina nani na imeanzishwa lini ? Nijuavyo ngazi ya chini ya tabibu ni Clinical Officers, Clinical Medicine
Huu Ni Uongo kwa 100%Ni Tanzania tu ndio kuna Clinical officer Duniani kote hii ilianzishwa kwa msukumo wa Rais . Nyerere ndio maana mnaona mnatumia nguvu kubwa kuiita tabibu wakati ni jina lenye maana ya Doctor..
Clinical officer inatambuliwa ndani ya Tanzania tu..