Clip fupi: Sasa nimegundua umuhimu wa Corona virus China, nadhani wanapaswa kupigwa na korusi kingine ili akili ikae sawa

Clip fupi: Sasa nimegundua umuhimu wa Corona virus China, nadhani wanapaswa kupigwa na korusi kingine ili akili ikae sawa

[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Nisingependa kutia chumvi kwenye hili, labda hiyo video clip iongee yenyewe, nimeishiwa maneno.


Shida nini mkuu,,, FRANCIS DA DON

Kama ni kula mbona waafrika tunakula panya, nyoka, nyani mpaka konokono?!

Kule Malawi wanakula maduduwasha Yale yakwenye miembe makubwa sana, ufipani wanakula funza Fulani wanakaa kwenye miti iliyooza, magamba ya miti au chini ya ardhi wanawakaanga kwenye mafuta,

Wamakonde wanakula panya, wahehe wanakula mbwa, wapemba wanakula popoo!

wakongo wanakula nyani, ngedere, sokwe mpaka binadamu wale emolo wafupi sana (mbilikimo), wanalalamika sana kuliwa na wakongomani warefu.

Kenya maeneo ya pwani kuanzia Mombasa mpaka lamu kuna kabila linakula wale konokono wenye magamba ya kahawia (Brown) ndani weusi tii.

Kwahiyo sioni tatizo la kuwachukia wachina wakati hata huku kwetu afrika mambo hayo yapo, na kuhusu magonjwa hata huku kwetu ugonjwa Wa EBOLA ulisemekana ulitokana na waafrika kula sokwe na nyani,

Japo magonjwa mengine hutengenezwa maabara na mataifa ya magharibi kwa Mipango yao ya population control na kutafuta masoko ya makampuni yao ya madawa, na kuyumbisha uchumi Wa mataifa mengine kama ilivyo kwa China yaani trade war as biological weapons!
 
Shida nini mkuu,,, FRANCIS DA DON

Kama ni kula mbona waafrika tunakula panya, nyoka, nyani mpaka konokono?!

Kule Malawi wanakula maduduwasha Yale yakwenye miembe makubwa sana, ufipani wanakula funza Fulani wanakaa kwenye miti iliyooza, magamba ya miti au chini ya ardhi wanawakaanga kwenye mafuta,

Wamakonde wanakula panya, wahehe wanakula mbwa, wapemba wanakula popoo!

wakongo wanakula nyani, ngedere, sokwe mpaka binadamu wale emolo wafupi sana (mbilikimo), wanalalamika sana kuliwa na wakongomani warefu.

Kenya maeneo ya pwani kuanzia Mombasa mpaka lamu kuna kabila linakula wale konokono wenye magamba ya kahawia (Brown) ndani weusi tii.

Kwahiyo sioni tatizo la kuwachukia wachina wakati hata huku kwetu afrika mambo hayo yapo, na kuhusu magonjwa hata huku kwetu ugonjwa Wa EBOLA ulisemekana ulitokana na waafrika kula sokwe na nyani,

Japo magonjwa mengine hutengenezwa maabara na mataifa ya magharibi kwa Mipango yao ya population control na kutafuta masoko ya makampuni yao ya madawa, na kuyumbisha uchumi Wa mataifa mengine kama ilivyo kwa China yaani trade war as biological weapons!
Shida sio nini unakula, shida ni jinsi unavyokiua, hakuna sababu ya kupika vitu vikiwa hai
 
Shida sio nini unakula, shida ni jinsi unavyokiua, hakuna sababu ya kupika vitu vikiwa hai
Kwao ndio usasa huo mkuu, (modernization)

Japan siku hizi kuna magari aina ya canter yenye sehemu iliyo transparent ndani yake yana maji na samaki wakiwa hai, pamoja na kamba na kaa,

Yanapita mitaani na kuuza viumbe hivyo, kisha watu wanaenda kununua viumbe bahari hivyo vikiwa hai yaani fresh,

Kwao nowadays ndio usasa huo, wanataka kuona vitu vikiwa fresh, sio unauziwa vitu vikiwa vimeshakaa kwenye jokofu karibu week mbili au tatu hata vingine vimehifadhiwa na dawa za kuhifadhia maiti (saline).
 
Back
Top Bottom