Mdadamwema.
Senior Member
- Aug 7, 2014
- 156
- 173
Habari zenu wakuu,
Naomba kusaidiwa katika hili,niko kwenye dozi ya clomid, lakini kila nikimeza dawa hizi nahisi maumivu katika mguu wangu wa kulia kwa chini,yaani kile cha kukanyagia,je kuna uhusiano wowote kati ya clomid na maumivu ya mguu?
Na je nikatishe dozi mpaka hapo kesho nitakapoenda kuonana na dactor,maana leo pia natakiwa nimeze nani siku ya tatu na dozi ni ya siku tano.
Nawasilisha wakuu
Naomba kusaidiwa katika hili,niko kwenye dozi ya clomid, lakini kila nikimeza dawa hizi nahisi maumivu katika mguu wangu wa kulia kwa chini,yaani kile cha kukanyagia,je kuna uhusiano wowote kati ya clomid na maumivu ya mguu?
Na je nikatishe dozi mpaka hapo kesho nitakapoenda kuonana na dactor,maana leo pia natakiwa nimeze nani siku ya tatu na dozi ni ya siku tano.
Nawasilisha wakuu