Clotous Chota Chama unataka nini Christmas hii ??

Clotous Chota Chama unataka nini Christmas hii ??

Chama ni mchezaji wa kiwango sana, aliefanya usajili wa chama pmja na kagere pale msimbazi hawakukosea, tatizo ni beki
Upande wa beki kocha anazingua kupanga.. Beki ya katikati kuna Juko Murshid na Bukaba.
 
Baada ya chama kutupa zawadi ya Christmas wana msimbazi ni wakati wa kumuuliza anataka zawadi gani kutoka kwetu

Je unataka kukaa madale ?
diamond tutamtimua

Je unataka kuwa msemaji wa simba ?
Manara atafute kazi nyingine

Unataka kuwa rais wa simba ?
Utapata usijali

Unataka kuwa rais wa Fifa ?
utakuwa tu wewe sema

unataka kofia ya akilimali ?
nitamvua mwenyewe nikuletee

Unamtaka mke wa mo dewji?
mchukue tu

we chama tuambie unataka nini

hata ukitaka kukaa ikulu jiwe atakupisha tu
Mpe Goti atakushukuru sana.
 
Chama ni mchezaji wa kiwango sana, aliefanya usajili wa chama pmja na kagere pale msimbazi hawakukosea, tatizo ni beki
Nakubaliana na hoja yako ila kwenye beki nafikiri kocha kwenye game ngumu amtumie Juuko Murshid na mmoja kati ya Wawa au Nyoni, hawa wana akili sana ila kwasababu ya umri kasi yao imepungua ila Juuko umri una mruhusu sana.
 
Back
Top Bottom