I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Umewaza mbali sana mkuu.Hizi mvua bandia itakuaje kama adui akiamua kuzitumia kuipiga nchi fulani kwa mafuriko? Unakuta mnajaziwa mito inafurika maji mpaka barabarani kuingia mijini, hii si itakuwa hatari?
Mkuu naomba upitie program ya SERN, you just Google and it will direct you into it na impacts zake. Kiufupi hilo linawezekana kutengenezewa natural calamity na kutumika kama silaha kwa aduiHizi mvua bandia itakuaje kama adui akiamua kuzitumia kuipiga nchi fulani kwa mafuriko? Unakuta mnajaziwa mito inafurika maji mpaka barabarani kuingia mijini, hii si itakuwa hatari?
Na hizo radi za kutengeneza?Cloud seeding ni aina ya maboresho ya hali ya hewa yenye dhumuni la kubadilisha kiasi au aina ya mvua, kupunguza mvua za mawe au utawanywaji wa ukungu. Ila Mara nyingi lengo huwa ni kuongeza uwezekano wa unyeshaji wa mvua au kuangushaji wa snow, ama kwa namna nyingine njia hii hutumika kuzuia mvua kunyeesha kwa siku fulani fulani za mbeleni.
Mvua bandia = mafuriko bandia.
View attachment 2966345
Kama ilivo big result nowKuna mheshimiwa wetu mmoja alifanya ziara ya kazi katika moja ya nchi za asia, aliona teknolojia hiyo na kutaka iletwe nchini ili kuondoa ukame wa mvua kama ikitokea mvua itachelewa kunyesha na maji kupungua kwenye mabwawa ya umeme basi mvua bandia inyeshe kujaza mabwawa hayo ili kusiwepo mgao wa umeme nchini. Sasa si ingekuwa balaa kama mvua hiyo bandia ingenyesha ikiwa hii ya kawaida imeleta maafa? Hizo mvua bandia zikanyeshe jangwani na sehemu zenye ukame
Hii mbona balaa...😳
Huu mbona mtafutano
Ujaelewa concept mvua ni harisi na radio zake ila wanachifanya wana manipulate mchakato kwani uvua si unamchakato. So haimaniishi kuwa sio mvua ya kweli.Na hizo radi za kutengeneza?
Marekani wanatumia sana hiyo teknologiaBmwejea vtjwaziJwa nchi ukuzuwe mvua bandia itakuaje kama adui akiamua kuzitumia kuipiga nchi fulani kwa mafuriko? Unakuta mnajaziwa mito inafurika maji mpaka barabarani kuingia mijini, hii si itakuwa hatari?
Hiyo ipo climatic engineering au geo- engineering Yale matetemeko mengi ni yakutengenezaHizi mvua bandia itakuaje kama adui akiamua kuzitumia kuipiga nchi fulani kwa mafuriko? Unakuta mnajaziwa mito inafurika maji mpaka barabarani kuingia mijini, hii si itakuwa hatari?
Nakubaliana na Wewe Mkuu! Bado nakumbuka lile tetemeko la ardhi lililoikumba nchi ya Uturuki mwaka jana. Walisema inaweza kuwa ni "Effect of Geo-Engineering".Hiyo ipo climatic engineering au geo- engineering Yale matetemeko mengi ni yakutengeneza
Kweli, lile tetemeko wajuvi wa mambo wengi wamekataa kulihusisha na nguvu za asiliNakubaliana na Wewe Mkuu! Bado nakumbuka lile tetemeko la ardhi lililoikumba nchi ya Uturuki mwaka jana. Walisema inaweza kuwa ni "Effect of Geo-Engineering".