johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Watangazaji wa Clouds 360 wametembelea kijiwe maarufu cha kahawa jijini Dodoma na kufanya mahojiano na madereva wa Bodaboda.
Bodaboda waliulizwa maswali mawili ya msingi:
1. Je, Rais Magufuli akimaliza muhula wake wa pili wa uongozi aongezewe 10 mingine?
2 Je, kwa mnavyofahamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe alivamiwa au alianguka mwenyewe?
Bodaboda wamependekeza Rais Magufuli aendelee na uongozi hadi maono yake yatakapokamilika.
Kuhusu Mbowe bodaboda wamesema wao hawajui chochote na walitegemea waandishi wa habari ndio wenye taarifa zaidi.
Chanzo: Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!
Bodaboda waliulizwa maswali mawili ya msingi:
1. Je, Rais Magufuli akimaliza muhula wake wa pili wa uongozi aongezewe 10 mingine?
2 Je, kwa mnavyofahamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe alivamiwa au alianguka mwenyewe?
Bodaboda wamependekeza Rais Magufuli aendelee na uongozi hadi maono yake yatakapokamilika.
Kuhusu Mbowe bodaboda wamesema wao hawajui chochote na walitegemea waandishi wa habari ndio wenye taarifa zaidi.
Chanzo: Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!