Clouds 360 yawauliza Bodaboda kama Mbowe alivamiwa au alianguka mwenyewe jijini Dodoma

Clouds 360 yawauliza Bodaboda kama Mbowe alivamiwa au alianguka mwenyewe jijini Dodoma

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Watangazaji wa Clouds 360 wametembelea kijiwe maarufu cha kahawa jijini Dodoma na kufanya mahojiano na madereva wa Bodaboda.

Bodaboda waliulizwa maswali mawili ya msingi:

1. Je, Rais Magufuli akimaliza muhula wake wa pili wa uongozi aongezewe 10 mingine?

2 Je, kwa mnavyofahamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe alivamiwa au alianguka mwenyewe?

Bodaboda wamependekeza Rais Magufuli aendelee na uongozi hadi maono yake yatakapokamilika.

Kuhusu Mbowe bodaboda wamesema wao hawajui chochote na walitegemea waandishi wa habari ndio wenye taarifa zaidi.

Chanzo: Clouds tv

Maendeleo hayana vyama!
 
Watangazaji wa Clouds 360 wametembelea kijiwe maarufu cha kahawa jijini Dodoma na kufanya mahojiano na madereva wa Bodaboda.

Bodaboda waliulizwa maswali mawili ya msingi:

1. Je, Rais Magufuli akimaliza muhula wake wa pili wa uongozi aongezewe 10 mingine?

2 Je, kwa mnavyofahamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe alivamiwa au alianguka mwenyewe?

Bodaboda wamependekeza Rais Magufuli aendelee na uongozi hadi maono yake yatakapokamilika.

Kuhusu Mbowe bodaboda wamesema wao hawajui chochote na walitegemea waandishi wa habari ndio wenye taarifa zaidi.

Source Clouds tv

Maendeleo hayana vyama!
Atakuwa Hassani ngoma tu akuna mwingine...
 
Walioweka miaka mitano mitano walikuwa na maana. Ndani ya muda huo tunaweza kuvumiliana tukiamini kiongozi muda wake ukiisha ataondoka.

Chukulia mfano awamu zilizopita kila moja ingeamua kuongezewa miaka 10 je leo tungekuwa na awamu hii tuliyo nayo?
 
Watangazaji wa Clouds 360 wametembelea kijiwe maarufu cha kahawa jijini Dodoma na kufanya mahojiano na madereva wa Bodaboda.

Bodaboda waliulizwa maswali mawili ya msingi:

1. Je, Rais Magufuli akimaliza muhula wake wa pili wa uongozi aongezewe 10 mingine?

2 Je, kwa mnavyofahamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe alivamiwa au alianguka mwenyewe?

Bodaboda wamependekeza Rais Magufuli aendelee na uongozi hadi maono yake yatakapokamilika.

Kuhusu Mbowe bodaboda wamesema wao hawajui chochote na walitegemea waandishi wa habari ndio wenye taarifa zaidi.

Source Clouds tv

Maendeleo hayana vyama!
lazima unabinuliwa ndugu
 
Bodaboda wamesema kweli.kuhusu Mbowe kuumia wamesema hawajui chochote,ila kuhusu magufuli kuongeza muda pia wamejibu vizuri sana.
 
Watangazaji wa Clouds 360 wametembelea kijiwe maarufu cha kahawa jijini Dodoma na kufanya mahojiano na madereva wa Bodaboda.

Bodaboda waliulizwa maswali mawili ya msingi:

1. Je, Rais Magufuli akimaliza muhula wake wa pili wa uongozi aongezewe 10 mingine?

2 Je, kwa mnavyofahamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe alivamiwa au alianguka mwenyewe?

Bodaboda wamependekeza Rais Magufuli aendelee na uongozi hadi maono yake yatakapokamilika.

Kuhusu Mbowe bodaboda wamesema wao hawajui chochote na walitegemea waandishi wa habari ndio wenye taarifa zaidi.

Source Clouds tv

Maendeleo hayana vyama!
Huyo sam sa sali yuko kikapeni zaidi tangu apigiwe simu na rais ndio kabisaa kawa boya.
Kingine waandishi karibuni wote wameamua kusifia tangu jery muro na gondwe waule kuna wivu mkubwa sana kwa waandishi uchwara.
 
Kwa zama hizi hata Mimi ambae nataka Magufuli hatoke madarakani hata leo hii,ukija kuniuliza na MIc za TV lazima nikujibu hiyo Magufuli atawale milele. Nikujibu vingine ili Magufuli na wapambe wake waniharibie maisha yangu zaidi maana haya wanayofanya tu wameshaniharibia maisha yangu.

Heri nusu Shari kuliko Shari kamili.
 
Back
Top Bottom