denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Hao 360 kweli wapuuzi, unawauliza bodaboda kuhusu Mbowe kwani walikuwepo kwenye tukio? na wanavyosema "kwa unavyomfahamu" kwani hao boda wanaishi na Mbowe?! au kumfahamu kwa kumtazama kwenye Tv!.
Maana yake kuna jibu walikuwa wanategemea kupewa, bahati mbaya kwao bodaboda wameonesha "professionalism" zaidi ya hao waandishi makanjanja.
Maana yake kuna jibu walikuwa wanategemea kupewa, bahati mbaya kwao bodaboda wameonesha "professionalism" zaidi ya hao waandishi makanjanja.