KonokonoWatangazaji wa Clouds 360 wametembelea kijiwe maarufu cha kahawa jijini Dodoma na kufanya mahojiano na madereva wa Bodaboda.
Bodaboda waliulizwa maswali mawili ya msingi:
1. Je, Rais Magufuli akimaliza muhula wake wa pili wa uongozi aongezewe 10 mingine?
2 Je, kwa mnavyofahamu Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe alivamiwa au alianguka mwenyewe?
Bodaboda wamependekeza Rais Magufuli aendelee na uongozi hadi maono yake yatakapokamilika.
Kuhusu Mbowe bodaboda wamesema wao hawajui chochote na walitegemea waandishi wa habari ndio wenye taarifa zaidi.
Source Clouds tv
Maendeleo hayana vyama!
nasheka mpaka nayenda kufaOgwo mshaija nashana emana , nkizoka mbamuwa elfu mushanju bulikilo kuluga Lumumba , chonka byona naku nizozikumkola omuntu kubamfwela.
Kumbe ni kifela felaOgwo mshaija nashana emana , nkizoka mbamuwa elfu mushanju bulikilo kuluga Lumumba , chonka byona naku nizozikumkola omuntu kubamfwela.
Akili hizo za kuhoji wabobezi wanazo sasa!?Badala kuwahoji wabobezi wa masuala ya kitaifa kuhusiana na mambo ya msingi, wao wanakimbilia kwenye makundi ambayo watapata kiki za kirahisi. Huku ni kujidharaurisha tu.
Inategemea na alivyoamka.[emoji23][emoji23]
Mkuu umejiongezea nini kwenye siku yako ya leo baada ya kufoka kiasi hichi?
Tatizo wanawauliza wasiohusika. Mnyika alisema Mbowe hakuwa peke yake. Waandishi wamfuate Mnyika awatajie watu walikuwa na Mbowe halafu wafanye mahojiano nao.Hao 360 kweli wapuuzi, unawauliza bodaboda kuhusu Mbowe kwani walikuwepo kwenye tukio? na wanavyosema "kwa unavyomfahamu" kwani hao boda wanaishi na Mbowe?! au kumfahamu kwa kumtazama kwenye Tv!.
Maana yake kuna jibu walikuwa wanategemea kupewa, bahati mbaya kwao bodaboda wameonesha "professionalism" zaidi ya hao waandishi makanjanja.
Lile batamzinga, angalia hata akikaa anakaa upande upande.Atakuwa Hassani ngoma tu akuna mwingine...
Kiongozi mkui mmoja kuotaja Clouds inamshinda anasema klaudiHao 360 kweli wapuuzi, unawauliza bodaboda kuhusu Mbowe kwani walikuwepo kwenye tukio? na wanavyosema "kwa unavyomfahamu" kwani hao boda wanaishi na Mbowe?! au kumfahamu kwa kumtazama kwenye Tv!.
Maana yake kuna jibu walikuwa wanategemea kupewa, bahati mbaya kwao bodaboda wameonesha "professionalism" zaidi ya hao waandishi makanjanja.
Makundi hayo waliyoyahoji pia yana nafasi yao katika jamii ya Watanzania na wanazo haki zote za kiraia ila kilichoniboa ni kuwauliza issue ya Mbowe kana kwamba ama wakati anavamiwa na kupigwa au wakati anadondoka kwa ulevi wa Faru John walikuwepoBadala kuwahoji wabobezi wa masuala ya kitaifa kuhusiana na mambo ya msingi, wao wanakimbilia kwenye makundi ambayo watapata kiki za kirahisi. Huku ni kujidharaurisha tu.
Enaku ziba zibinasheka mpaka nayenda kufa
mama yako anabinuliwa na boda boda wa mkwajuniB
Babz Terrible Teen ndu anabinuliwa bwashee!
Hahahaaaa...... Baba Terribke Teen punga!mama yako anabinuliwa na boda boda wa mkwajuni
peleka tako kwa BASHITE mbanduane kwa zamuHahahaaaa...... Baba Terribke Teen punga!