Clouds acheni vitisho

Clouds acheni vitisho

Co wameleke wapeleke mdol ww hv unashea na mawngu faida ya kuwakamua wasanii?
 
Sasa UNABISHA NINI??? Clouds kuna mshoga na its true mi nnao wajua na nimethibitisha ni zaidi ya 4 sasa UNABISHA NINI??? umenikera kweli kujifanya we mpole na una busara sana kumbe hujui kitu..mmezoea kubisha tu hata msio yajua,..shame!

Elewa nilichoandika mkuu... PAMOJA NA HAYO, UTAMU WA MAISHA UPO KWENYE TOFAUTI ZETU... Utawaona warefu kwa vile kuna wafupi..
 
Sasa UNABISHA NINI??? Clouds kuna mshoga na its true mi nnao wajua na nimethibitisha ni zaidi ya 4 sasa UNABISHA NINI??? umenikera kweli kujifanya we mpole na una busara sana kumbe hujui kitu..mmezoea kubisha tu hata msio yajua,..shame!


Acha kutoa povu, hakuna shoga hata mmoja, labda wewe msimulia mvua...
 
There are currently 38 users browsing this thread. (14 members and 24 guests)feis buku, Daudi mchambuzi, Mpita Njia, Ngalikihinja, JS, lasix, Pdraze, Little Angel, jingofresh, Kana Amuchi, Ibrah, Mpandafarasi, Kalila, mihayo kadete
 
mi kusema ukweli nimechoka kusikia haya makorokoro ya vinega sijui klaudis..hebu tujadili mambo mengine bana
 
mi kusema ukweli nimechoka kusikia haya makorokoro ya vinega sijui klaudis..hebu tujadili mambo mengine bana

Ungekuwa umechoka na hii mada ungekaa kimya bila kuchangia. I know you like it.
 
Rama dee na adili kwenye facebook wameandika kuwa kusaga na kinje wamekaa kikao na kujadili jinsi ya kupunguza makali vinega na vinega wamerekodi mazungumzo yao acheni hayo mambo mjue sasa ishu si ya vinega hii movement ipo kwa raia sasa na dunia yote inajua hamuwezi kuzuia mvua mmenyonya sana wasanii vinega sio kama misukule.sasa watapambana na UMA. hawa clouds sijui wanapata nguvu wapi
Soggy doggy alitekwa juzi na kutishiwa maisha yake na pia gari yake kuharibiwa sijui nani anafanya haya mambo

Mr Kusanga tumia busara zako kama kweli shutuma hizo zipo kukemea maana baadhi ya vijana wako hawajui umeanzia wapi mpaka kufika hapo!!! wasitumie CLOUDS kama jukwaa mashambulizi. watangazaji wote safi ila mmoja ni KADA wa sissiem BWAKU BWAKU SAAANA...
 
hivi kuna watu bado wanasikilza vipindi vya hayo mawingu?
 
Vinega anzisheni redio yenu kwani 2mewaita kwanza hao vinega wenyewe wote zilipendwa .hahahahaha
VIVA CLOUDS FM
 
Upumbavu kama huu hasa unapoletwa na mwanamke alie vaa matambarra na kujiziba usoni hua nashindwa kuvumilia...unabisha usichokijua..hebu nenda kale futari ya kitimoto utoe janaba hapa..nyauba we

Kama wewe siyo mmbeya na unataka kulinda heshima yako hapa jukwaani hebu wataje hao mashoga, udhihilishie uma wa JF kwamba wewe siyo mtu wa majungu na kutunga story.

Where we dare to talk openly - itendee haki, otherwise wewe ni mwongo, mzushi na mbeya na kwa maana hiyo unastahili kuangaliwa ulijali wako.
 
Back
Top Bottom