CLOUDS FM | Before & After...!

Mimi baada ya kusikia tu mwijaku yupo mawingu nliacha kuitilia maanani clouds fm

Hata sijui aliingiaje hapo labda kamlete kamlete kiongozi. Najiuliza pia, huwa hawawapi maelekezo jinsi wanatakiwa kuwa wanapokuwa wafanyakazi wao...?
 

Mapiano ndio nini kiongozi...?
 
FM radio stations za Tz nadhani hazina Program manager, anaweza kuwa anaongea mgeni ghafla Tangazo likaingia😀😀
 
Mapiano ndio nini kiongozi...?
Aina ya mziki nadhani nasikia tu wanasema mapiano sijui amapiano, ila nilichokuwa najaribu kuelezea ni kwamba mambo yanabadilika, yaliyofanyika 2010 hayawez fanana na ya mwaka 2023 sasa ww kama unataka yawe kama ya 2010 rudi uko 2010 ukawasikilize kina ephraim kibonde sasa tuache sisi tunaoenda na upepo uliopo tuende nao ivo ivo.

Zamani iyo ulikuwa uwez sikiliza vipindi vya radio radio kuiptia YouTube na hata tulikuwa hatujui uko studio kunafananaje ila saiv vipind wanastream Youtube tunaona hadi studio wanachokifanya wewe kama ushazeeka kubali uzee ndugu
 

Kwa hiyo kama mambo yanabadilika ndio mnaona ni sahihi kuwakatikia wanaume viuno hadharani ni sahihi hilo suala...? Inaleta image gani kwenye kituo husika...?
 
Hio station sana sana ni kwa ajili ya vijana hata kipindi hicho ni mara chache sana kumkuta mtu mzima akisiliza kutokana na contents zake

Hilo wala sijakataa hata watu wazima wapo wanaopenda music ila tatizo linakuja suala la kumkatikia viuno mwanaume mwenzako and still ni mtangazaji wa radio kama hiyo inaleta taswira gani kwa radio husika na jamii kwa ujumla...?
 
Mwijaku ni media artist. Tena mwenye degree ya maigizo kutoka department ya creative arts ya university of dar es salaam.

Kazi yake ni ku entertain audience. Na clouds wamemuajiri kwa sababu hiyo maana zama hizi za social network watu kama mwijaku wanaibeba media isipotee sokoni.

Wawekezaji wa pay tv wenye media kubwa STAR TIMES na wao wamemuajiri MWIJAKU kama part time staff kwa sababu hiyo hiyo.

Ingekuwa clouds walikosea kumuajiri mwijaku. Why STAR TIMES na wao wamuajiri mwijaku part time wakati kuna wasomi kibao hawana kazi
 
Kila radio wanatamani kuwa kama clouds Kwa radio changa kibongo bongo Clouds wanajitahidi na hawaboi hata Mwijaku ana ladha yake + ni comedian unaenjoy kusikiliza radio
 
Leotena na Dina Marios
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…