Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,450
- 600
Hata wewe ukiamua kuishindisha nja familia yako hakuna atakae kuuliza. Mtu na chake bana
wangesema ifungwe isisikike Siku nzima cye tungeshukuru mno,tuna radio 81 bado zinatuhusu na channel kibao za dstv za kuangalia.Kwel kampun binafs zinashida sna
Wakalale tu JF yenyewe ni radio + tv tosha BBc Inasubir sna tuna reporter Dunia nzima sembuse Hao kusikika Tz ndo imekua ishu na vipind wanacopy n paste.Nonsense funga kbs waambie wakalale.Stl tuna nafasi ya kushukuru cse hata leo wasinge Piga mziki wowote wakashinda wakiongea tu bado hakuna alie lazimishwa kusikiliza. Kwanza vipindi vingi porojo tu!! Mfano jahazi siku hizi wanaendesha kwa mtazamo wa kibonde.
Aaaah
1000000000%Wakalale tu JF yenyewe ni radio + tv tosha BBc Inasubir sna tuna reporter Dunia nzima sembuse Hao kusikika Tz ndo imekua ishu na vipind wanacopy n paste.Nonsense funga kbs waambie wakalale.
1000000000%