real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Inafahamika kwamba [HASHTAG]#RomaMkatoliki[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Stamina[/HASHTAG] ni wasanii wenye uwezo mkubwa. Mwaka 2016 walifanya vizuri sana kwenye Fiesta. Hata hivyo, hilo haliwapi mamlaka ya kuchafua Taasisi yoyote.
Tumesikia kwamba walifanya mazungumzo yenye kutia shaka kuhusu [HASHTAG]#UsajiliWaTigoFiesta2017[/HASHTAG], lakini [HASHTAG]#MaraPaap[/HASHTAG] mazungumzo yao yalidakwa na vyombo vya usalama.
Mawasaliano hayo yanachunguzwa kwa umakini ili kugundua kama walitaka kufanya hujuma ama laa. Iwapo walifanya hujuma hatutawavumilia ; kanuni na sheria zitafuata mkondo.
[HASHTAG]#Tumekusoma[/HASHTAG] : Taarifa zaidi zitapatikana kupitia [HASHTAG]#RedioYaWatu[/HASHTAG] na kurasa za @tigo_tanzania. zitafuata
Tumesikia kwamba walifanya mazungumzo yenye kutia shaka kuhusu [HASHTAG]#UsajiliWaTigoFiesta2017[/HASHTAG], lakini [HASHTAG]#MaraPaap[/HASHTAG] mazungumzo yao yalidakwa na vyombo vya usalama.
Mawasaliano hayo yanachunguzwa kwa umakini ili kugundua kama walitaka kufanya hujuma ama laa. Iwapo walifanya hujuma hatutawavumilia ; kanuni na sheria zitafuata mkondo.
[HASHTAG]#Tumekusoma[/HASHTAG] : Taarifa zaidi zitapatikana kupitia [HASHTAG]#RedioYaWatu[/HASHTAG] na kurasa za @tigo_tanzania. zitafuata