Kawaida kufanya nini?Kawaida sana
Mkuu unajua Chifupa alikuwa anatangaza kitu gani enzi zake?A. Chifupa alipita but mambo yalisonga, wapo wengi wabunifu na wenye vipaji tatizo hawajapa nafasi ya kuonyesha jamii walicho nacho, popote akiondoka mtu yupo wa kifiti bila kujali itachukua mda gani..worry out sir
Mkuu wamekamata fursa inasemekana kipindi kitaendeshwa na yule dada Babra na RugeHee, wameondoka?
MabadilikoKawaida kufanya nini?
Mkuu walikuwa na mikataba ya muda gani kwani?Mm ninachojua na ambacho ruge ameongea ni kuwa mikataba inaisha lei
Kaka kwasasa husikilizi hii mawingu studio?Mkataba wa kabonde nao vipi!? Huo ukiisha nami naanza kuisikiliza clouds.
Ni kweli hoja yako ulitaka kusema nini?Gadina naye alipita hapo hapo.
Kwa hiyo huamini kama hao walioondoka waliondoka na watu?clouds wasikilizaji wake ni vichaa tupu.labda kama umeanza kusikiliza hiki kipindi miaka ya juzi, walikuwepo kina masudi kipanya na fina mango walipoondoka watu tulijua huo ndio mwisho wa Pb. lakini walikuja wengine wakafit,
vivyo hivyo katika leo tena alipoondoka amina chifupa wasilizaji wengi walikata tamaa lakini mbona alikuja dina na akafit. clouds ni kubwa kuliko mtangazaji mmoja mmoja
Hivi unakumbuka afrika bambataa?Watatokea wengine wazuri tu. Kama unakumbuka vema, kabla yao kulikuwa na kina Fina na hata huyu Masoud (KP) lakini leo hii si mmeshawasahau kabisa!?
Hanithi tu wewe! Nazungumza kama basha lako.Wewe ni msemaji au mke wa yupi kati yao
Uko clouds nini?labda kama umeanza kusikiliza hiki kipindi miaka ya juzi, walikuwepo kina masudi kipanya na fina mango walipoondoka watu tulijua huo ndio mwisho wa Pb. lakini walikuja wengine wakafit,
vivyo hivyo katika leo tena alipoondoka amina chifupa wasilizaji wengi walikata tamaa lakini mbona alikuja dina na akafit. clouds ni kubwa kuliko mtangazaji mmoja mmoja
walimcheka kipanya sasa imekula kwaoSalaam wana jamvi!
Kuna taarifa yakuwa watangazaji wawili wa Clouds media group,wameondoka kwenye kituo hicho kilichojizolea umaarufu sana kwenye medani ya habari na burudani.
Watangazaji hao walikuwa wana kipindi chao maarufu sana cha asubuhi chenye jina la Power Breakfast(PB)nia ya huu uzi siyo kutaka kuwachambua hawa waliona fursa sehemu nyingine na wakaifuata.
Mashaka yangu ni yakuwa naona harufu ya hii radio kurudi hatua kumi nyuma,sina hakika kama kuna watakaokuja ku-fit kama walivyokuwa hawa wa mwanzo.
Naliona pigo kubwa sana kwa mzee wa fursa Ruge kwa kuondoka hawa wazee wa PB pale clouds media.
Wamekamata fursa wameondoka zao.Unatakiwa uone mbele zaidi ili ufikie kilele cha mafanikio zaidi