Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

Clouds FM kuwatema watangazaji PJ, Gerald Hando na Abel Onesmo wa Power Breakfast

A. Chifupa alipita but mambo yalisonga, wapo wengi wabunifu na wenye vipaji tatizo hawajapa nafasi ya kuonyesha jamii walicho nacho, popote akiondoka mtu yupo wa kifiti bila kujali itachukua mda gani..worry out sir
Mkuu unajua Chifupa alikuwa anatangaza kitu gani enzi zake?
 
ila Hando kwenye PB ana design flani hivi ya kuongea na maneno ya kejeli mpaka kipindi kina kuwa kifupi ila ukimleta kwenye TV duh anakuwa hovyo sana maana anaonekana ana wasi wasi ila nahisi ni kwa watangazaji wote maana ukimsikiliza diva love unaweza ukajua bonge la pini njoo muone fizikali duh
 
Unatakiwa uone mbele zaidi ili ufikie kilele cha mafanikio zaidi
 
labda kama umeanza kusikiliza hiki kipindi miaka ya juzi, walikuwepo kina masudi kipanya na fina mango walipoondoka watu tulijua huo ndio mwisho wa Pb. lakini walikuja wengine wakafit,
vivyo hivyo katika leo tena alipoondoka amina chifupa wasilizaji wengi walikata tamaa lakini mbona alikuja dina na akafit. clouds ni kubwa kuliko mtangazaji mmoja mmoja
Kwa hiyo huamini kama hao walioondoka waliondoka na watu?clouds wasikilizaji wake ni vichaa tupu.
 
Watatokea wengine wazuri tu. Kama unakumbuka vema, kabla yao kulikuwa na kina Fina na hata huyu Masoud (KP) lakini leo hii si mmeshawasahau kabisa!?
Hivi unakumbuka afrika bambataa?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
labda kama umeanza kusikiliza hiki kipindi miaka ya juzi, walikuwepo kina masudi kipanya na fina mango walipoondoka watu tulijua huo ndio mwisho wa Pb. lakini walikuja wengine wakafit,
vivyo hivyo katika leo tena alipoondoka amina chifupa wasilizaji wengi walikata tamaa lakini mbona alikuja dina na akafit. clouds ni kubwa kuliko mtangazaji mmoja mmoja
Uko clouds nini?
 
Salaam wana jamvi!

Kuna taarifa yakuwa watangazaji wawili wa Clouds media group,wameondoka kwenye kituo hicho kilichojizolea umaarufu sana kwenye medani ya habari na burudani.

Watangazaji hao walikuwa wana kipindi chao maarufu sana cha asubuhi chenye jina la Power Breakfast(PB)nia ya huu uzi siyo kutaka kuwachambua hawa waliona fursa sehemu nyingine na wakaifuata.

Mashaka yangu ni yakuwa naona harufu ya hii radio kurudi hatua kumi nyuma,sina hakika kama kuna watakaokuja ku-fit kama walivyokuwa hawa wa mwanzo.

Naliona pigo kubwa sana kwa mzee wa fursa Ruge kwa kuondoka hawa wazee wa PB pale clouds media.
walimcheka kipanya sasa imekula kwao
 
Kwa sisi tuliowah kupitia mafunzo ya Human Resource managament ni kosa kumbwa kumfanya mtu fulan awe juu ya taasisi anayoifanyia kazi, taasisi sio mtu mmoja au wawili . Mimi siipend clouds media kabisa ila nadhan uamuz wa Ruge ulikuwa hauepukiki.

Duc in Altum
 
Back
Top Bottom