Clouds fm mkomradhi kulea yatima watakaotengenezwa kesho fiesta???

Clouds fm mkomradhi kulea yatima watakaotengenezwa kesho fiesta???

Fiesta inachochea sn maovu, mwenye mada kaeleza ukwel mtu. Fiesta imejaa mambo machafu mengi tena yanayowagusu vijana wadogo moja kwa moja. Wote mnaobisha kwanza hamuhudhurii fiesta na kama mnaenda hamuendi na girl friend zenu wala hamuwaruhusu wadogo zenu hasa wakike wahudhurie so acheni ushabidi usio wa maana jikiteni kwenye point za msingi.

hayo mabaa yaliyozagaa kila kona ya jiji hili hayachochei maovu? na hayo madanguro aka magesti na yenyewe hayachochei maovu? acheni ku-cherry pick vitu. kuweni consistent. kama unapinga na kuponda fiesta kuwa inachochea maovu...here is some news flash for you....yanayofanyika kwenye mabaa na kwenye hayo madanguro ni mabaya vilevile. lakini mbona hatuwaoni mkishikia bango hayo mabaa?
 
Fiesta inachochea sn maovu, mwenye mada kaeleza ukwel mtu. Fiesta imejaa mambo machafu mengi tena yanayowagusu vijana wadogo moja kwa moja. Wote mnaobisha kwanza hamuhudhurii fiesta na kama mnaenda hamuendi na girl friend zenu wala hamuwaruhusu wadogo zenu hasa wakike wahudhurie so acheni ushabidi usio wa maana jikiteni kwenye point za msingi.
<br />
<br />

Kwa kuelewa tu kuwa kuna madhara....no one from my household will attend....hence I have played my role. I do not want to shift my parental and guardia responsibility to clouds media group.

the point here is if people think it doesnt suit them, its immoral basi msiruhusu wale ambao hawawezi kujifanyia maamuzi ya busara kwenda (under 18)

Kama tutaacha kwenda basi hawatafanya hilo tamasha, lakini kama hata baada ya miaka kumi bado wamo, ni dhahiri lina wapenzi.
 
hivi mtu mzima na akili zake timamu anaenda fiesta kwa pesa yake, analewa, anacheza muziki, anajikamatia mtu, wanangonoka na kupeana mimba na pengine hata maradhi, halafu uilamu clouds?

Sishabikii fiesta, sijawahi kwenda kwa hiyari yangu na utashi wangu, lakini siwezi kulazimisha kila mtu aione niionavyo mimi!
 
hayo mabaa yaliyozagaa kila kona ya jiji hili hayachochei maovu? Na hayo madanguro aka magesti na yenyewe hayachochei maovu? Acheni ku-cherry pick vitu. Kuweni consistent. Kama unapinga na kuponda fiesta kuwa inachochea maovu...here is some news flash for you....yanayofanyika kwenye mabaa na kwenye hayo madanguro ni mabaya vilevile. Lakini mbona hatuwaoni mkishikia bango hayo mabaa?

salute mkuu
husika na taarifa hapo juu sidhan kwa kuwa afrikasana wana mabinti wanajiuza sana then nikafungue na mi bar na kuita maraya kwa a jili ya kuweka danguro..nadhan kwenye hekima tutatumia hekima tunayaacha kuyafanyia kazi ni kama ulivyosema naomba mwenye akili atajua nini namaanisha

fiesta njema
 
Kwa nini huwapendi Clouds?

ha haaaa
well sio kuwachukia...
i dont hate them,i dislike them...
i dont listen clouds fm,
i prefer bbc ,news and news
not bongofleva music most of the time
 
Wewe hayo yanakuhusu nini? Au huna kazi za kufanya? Na hizo habari za kondomu zilizopasuka na zilizotumiwa bila kupasuka ulizijuaje? Uliwahi kwenda mwenyewe hapo viwanja Leader's kesho yake baada ya tukio ukaziokota na kuzikagua?

Acheni chuki zenu zisizo kichwa wala tumbo! Acha watu wamuinjoi Ludacris bana. Nakushauri upeleke hii crusade yako huko kwenye mabaa na magesti hausi. Waache watu wale raha kwa raha zao. Wewe kama huna maisha jibebe kama Kangaroo.



ehhh mjomba unajua kusuta dahh...isha mashauzi aoni ndani....

demu wako asi anakoma....full kumsuta akikukorofsha....


WAKILI BNAFS WA CLOUDS ...i like t..
 
Back
Top Bottom