Clouds FM na kipindi chao cha matusi usiku.

Clouds FM na kipindi chao cha matusi usiku.

NITE EXPRESS

The only gem of more value than the show Nite Express is the host Sophia Kessy!

Let the angel of the night whisper you to sleep every day from 8 pm till 11 pm on CLOUDS FM with a soft mix of music and soothing words to make you feel the love of a truly modern Swahili woman! You are encouraged to leave all your troubles at her hands as she skillfully soothes and caress you with an enabling environments that's truly loving

Sophia believes in the significance of a woman's place in the home, she is the glue that holds the walls together. She values her family yet she must be active, get herself busy and have her own life!

She stands on her own two feet and in doing so is able to hold up her man when the going gets tough. She is the rib that every man is searching for since the Garden of Eden!
 
hao tume ya utangazaji na wao ni wasikilizaji wazuri..............
 
unalo jambo wewe si hivihiv!akushirikishe matusi@@haya mwenyewe!!!!!!!!!
mi nafikiri dawa ni kutosikiliza ama kufungua cluods FM..nimeona malalamko mengi lakini mwisho wa siku wale jamaa ndio kwanza wanazidisha na akuna cha ziada kama malalamiko uko tumeni yako zaidi ya mia wanaangaliana kifupi hivi ukiangalia movie ukakuta ngono inaingia kti je utazima ama utaendelea kuangalia??tusaidie kabla atujakusaidia yawezekana una hamu nayo lakini tu uipendi clouds na uchafuzi wao binafsi na i hetchi kinoma sema basi tu ila mwisho nkajiona ovyo maana wengi ukifwatilia shule zao ni sallllllllllllllllaaaaaaaaaaaaaaleeeeeeeeeeeeeeeeeiii so si kosa lao...ila endelea kuwapa vijembe


nasikitika kuwa umekurupuka bila kuelewa swali langu, ckuwa na maana ya kushirikishwa aliyoyasikia ktk kipindi bali hizo regulations za TCRA kuhusu hilo jambo kama ni kosa au si kosa,
 
Watu wa JF acheni unafki, sioni tatizo la clouds hapo ila ni ujinga tu tuanaojadili hapa kipindi kanarushwa wakati muafaka kabisa sasa mtomto anaposikiliza hiyo ni tatizo lake lakini wao wamechukua hatua ya kuhakikisha kinawafikia walengwa tu kama invisible na mabo yake ya kikubwa, mbona hamsemi JF MAMBO YA KIKUBWA ambayo kila mtu at his or her own risk anaweza kupata access, kwani invisible anapogrant access huko anafuatilia kujua kuwa watowato hawaingii na yanayowekwa huko TCRA hana mkono wake au ndo chuki binafsi na hiyo redio- tunatoa kibanzi kwenye macho ya wenzetu wakati tuna miti ndani ya macho yetu
 
Jana nilichelewa kidogo kulala, nilikuwa nikisoma novel huku nikisikiliza clouds fm.
Mida ya saa sita kipindi kilianza , mwanamke na mwanaume walikuwa wanaongea NGONO hadharani.
Watu walikuwa wakipiga simu na kutuma msg kuchangia.
Walikuwa wakiongelea namna ya kusugua mayai na soseji kwa mswaki, kuweka vimawe kwenye mbunye ili kuongeza utamu wa tukio.
Jamani, hivi kuongea hayo maneno mazito hadharani sio kukiuka masharti ya tume ya utangazaji na mawasiliano/

uwe unasikiliza wapo radio or prais power
 
Sikiliza redio tumaini pekeee kwa habari na vipindi vizuri, ni redio pekee...!!
 
Jana nilichelewa kidogo kulala, nilikuwa nikisoma novel huku nikisikiliza clouds fm.
Mida ya saa sita kipindi kilianza , mwanamke na mwanaume walikuwa wanaongea NGONO hadharani.
Watu walikuwa wakipiga simu na kutuma msg kuchangia.
Walikuwa wakiongelea namna ya kusugua mayai na soseji kwa mswaki, kuweka vimawe kwenye mbunye ili kuongeza utamu wa tukio.
Jamani, hivi kuongea hayo maneno mazito hadharani sio kukiuka masharti ya tume ya utangazaji na mawasiliano/

najua uliendelea kusikiliza mpaka mwisho
 
Walikirusha hicho kipindi usiku wakijua watoto wamelala
 
Back
Top Bottom