Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamjua Nyani Ngabu?
<br />kibonde yupo fluent kwa kingereza<br />
but again kingereza cha ludacris sio kingereza tulichofundishwa mashuleni
Hawa jamaa lugha ya malkia hakuna kabisa, yaani wanamtegemea mtu mmoja tu, NCHA KALI. Siku ile alipokuja Luda, ilibidi watangazaji wote wa ''Leo Tena'' wakimbie studio kwa muda kumpisha.
<br />
<br />
Kibonde anaungaunga tu, hajui kabisa kiingereza. Ni hicho kiswanglish chake, eti anafanya kama ana lafudhi ya kimarekani, hamna kitu
<br />kibonde yupo fluent kwa kingereza<br />
but again kingereza cha ludacris sio kingereza tulichofundishwa mashuleni
<br />wakati kibonde yupo <br />
channel ten<br />
nimewahi kumuona akimu interview mzungu mmoja<br />
mambo ya michezo na sikuona tatizo<br />
alikuwa very fluent<br />
<br />
sasa mambo ya muziki wa hip hop<br />
huwezi sema anayajua sana,kumuhoji ludacriss ana haki ya kukwepa
<br />Hawa jamaa lugha ya malkia hakuna kabisa, yaani wanamtegemea mtu mmoja tu, NCHA KALI. Siku ile alipokuja Luda, ilibidi watangazaji wote wa ''Leo Tena'' wakimbie studio kwa muda kumpisha.
ningekuwa pamoja na ww ila huyo mtu uliyemsifia ndo ameniziba mdomokibonde yupo fluent kwa kingereza
but again kingereza cha ludacris sio kingereza tulichofundishwa mashuleni
we huyo kibonde kakupa nn kwan?wakati kibonde yupo
channel ten
nimewahi kumuona akimu interview mzungu mmoja
mambo ya michezo na sikuona tatizo
alikuwa very fluent
sasa mambo ya muziki wa hip hop
huwezi sema anayajua sana,kumuhoji ludacriss ana haki ya kukwepa
uyu wakili bnafsi wa clouds?
au?