nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
Ila wengine Tena wengi tu wanawaelewa.Clouds na hii kampeni yao ya Shangazi Big sijui nini hata siwaelewi wanavuruga vuruga vipindi pasi na mpangilio..
Kuna kila dalili naona Millard atahama media na kuondoka kabisa CMG, japo ina mchango mkubwa katika career yake
Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Millard huyu huyu ambaye taifa zima linategemea page yake ya insta kama chombo kikuu cha habar??mwenye subscribers wa kutosha huko you tube??Binafsi namjua Millard Ayo Wa Clouds, Nje ya Clouds huyu Jamaa simjui kabisa..
So, nionavyo Mimi; Millard Ayo bila Clouds ataathirika kwa namna moja ama nyingine. Ilhali Clouds bila Millard sidhani kama itaathirika kivyovyote vile.
Clous n kubwa kuliko millard jmn ,millard ndio tegemezi kwa clous achen masihara.Millard huyu huyu ambaye taifa zima linategemea page yake ya insta kama chombo kikuu cha habar??mwenye subscribers wa kutosha huko you tube??
Sababu pekee inayomuweka pale clouds ni kwamba anawaheshimu na ilikuwa dream yake kufanya kazi clouds
Sent using Jamii Forums mobile app
Clouds ingekuwa kubwa ingenunua vipindi vyake.Clous n kubwa kuliko millard jmn ,millard ndio tegemezi kwa clous achen masihara.
Nakubali kuwa clouds ni kubwa kuliko millard ila nakataa kwamba Millard anaitegemea zaidi cloudsClous n kubwa kuliko millard jmn ,millard ndio tegemezi kwa clous achen masihara.
Hivi huyu jamaa Sam bado yupo duniani kumbe?Nakubali kuwa clouds ni kubwa kuliko millard ila nakataa kwamba Millard anaitegemea zaidi clouds
Millard anaweza kusimama peke yake na akasurvive vizuri tu!!muangalie Sam misago Kama mfano hai
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo sema naona amejiondoa kwenye utangazaj amebak kusimamia online platform zakeHivi huyu jamaa Sam bado yupo duniani kumbe?
Mtu huzaliwa, hutambaa, hutembea ,Lukas na hatimaye hujitegrmea.Binafsi namjua Millard Ayo Wa Clouds, Nje ya Clouds huyu Jamaa simjui kabisa..
So, nionavyo Mimi; Millard Ayo bila Clouds ataathirika kwa namna moja ama nyingine. Ilhali Clouds bila Millard sidhani kama itaathirika kivyovyote vile.
Binafsi kote huko sijawahi kumfuatilia, zaidi huwa namsikia kupitia Clouds pekee..Millard huyu huyu ambaye taifa zima linategemea page yake ya insta kama chombo kikuu cha habar??mwenye subscribers wa kutosha huko you tube??
Sababu pekee inayomuweka pale clouds ni kwamba anawaheshimu na ilikuwa dream yake kufanya kazi clouds
Sent using Jamii Forums mobile app
CMG ni NOTHING.Binafsi namjua Millard Ayo Wa Clouds, Nje ya Clouds huyu Jamaa simjui kabisa..
So, nionavyo Mimi; Millard Ayo bila Clouds ataathirika kwa namna moja ama nyingine. Ilhali Clouds bila Millard sidhani kama itaathirika kivyovyote vile.