nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
Mabadiliko ya vipindi vya Redio yamekiondoa kipindi cha Amplifier, kutoka kwenye studio za CMG na muda wake uliozoeleka kutoka saa 1: 00 (usiku) hadi saa 3 : 00 (usiku) kwasasa kinarushwa studio Millardayo Blogspot (Palm village) kuanzia saa 10 jioni hadi 1 usiku.
Swali langu:
Je! kati ya Clouds Media Group na Millardayo Blogspot nani anamtegemea mwenzake katika kutimiza wajibu? Yaani Kipindi cha Amplifier hakiwezi kwenda hewani bila Mtangazaji wake Millard Ayo na Millardayo Blogspot haiwezi kujitangaza bila Millard Ayo kutangaza.
Swali langu:
Je! kati ya Clouds Media Group na Millardayo Blogspot nani anamtegemea mwenzake katika kutimiza wajibu? Yaani Kipindi cha Amplifier hakiwezi kwenda hewani bila Mtangazaji wake Millard Ayo na Millardayo Blogspot haiwezi kujitangaza bila Millard Ayo kutangaza.