Clouds FM tafuteni mchambuzi mzuri wa nyimbo za kikongo au bendi kwa ujumla

Clouds FM tafuteni mchambuzi mzuri wa nyimbo za kikongo au bendi kwa ujumla

Udart

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2016
Posts
398
Reaction score
586
Kwema.

Mimi binafsi napenda sana kusikiliza nyimbo za KIKONGO bolingo sebene nk sasa zamani cloud walikuwa na Ben kinyaiya jamaa alikuwa anaendesha kipindi safi safi sikumbuki jina la kipindi ila ilikuwa inadili na nyumba za Congo na hapa nyumbani kiufupi jamaa alikuwa anachambua labda tuseme Koffi Olomide basi atamchambue vizuri nyimbo inapigwa anakutafsria mbaka unafurahia

Binafsi nilimkubali sana kwenye uchambuzi wa ma nguli kama pap tax ,Papa Wemba , nk huyu Ben Kinyaiya mwanzo nilijua ni mkongo man Yani una pigwa wimbo anastop anakupa tafsiri na historia ya huyo msanii ni kama yule marehem pale SAHARA MEDIA (RFA) kuna jamaa alikuwa anaitwa Kamkuru kama sikosei Rip alikuwa wa moto sana kuchambua bolingo

Sasa Clouds FM amekuja jamaa anaitwa ADA CADABRA sijui kama nimeandika sawa una kipindi kuanzia saa tano kila juma pili kiukweli Yani ni kama kipo Kwa ajili ya kurusha majina ya watu shar out sijui nani shar out mtu flani Yuko tegete baada ya hapo wimbo unapigwa jamaa ana Baki eeee aaaa aaahha🎶 aha aha aha Yani hachambui

Ile raha ya kusilikiliza inapotea situnataka unatuchambulia hapa anasema hivi huu wimbo ukipigwa mwaka flani kipindi kinanoga mfano Ben Kinyaiya alikipatia sana sasa asaivi imevaki shar out sijui Daud wa Kota nk bro Aca Dabra sijaja kukusagia kunguni lakini ila kipindi chako kinahtaji ubunifu sio mazoea na kutaja taja majina tu na mi guno aha aha aha vingnevyo angekaa tu dj apge playlist aondoke.
 
.... Sasa Clouds FM amekuja jamaa anaitwa ADA CADABRA sijui kama nimeandika sawa una kipindi kuanzia saa tano kila juma pili kiukweli Yani ni kama kipo Kwa ajili ya kurusha majina ya watu shar out sijui nani shar out mtu flani Yuko tegete baada ya hapo wimbo unapigwa jamaa ana Baki eeee aaaa aaahha🎶 aha aha aha Yani hachambui ...
Mkuu umeandika kwa hasira sana huku ukinuia kutuvunja mbavu...😂

Radio One wana mchambuzi mmoja mahiri sana sana. Pia mpaka leo hakuna anayemfikia Massoud Massoud wa TBC. Jamaa amesomea muziki na anazo hazina zote muhimu
 
Mkuu umeandika kwa hasira sana huku ukinuia kutuvunja mbavu...😂

Radio One wana mchambuzi mmoja mahiri sana sana. Pia mpaka leo hakuna anayemfikia Massoud Massoud wa TBC. Jamaa amesomea muziki na anazo hazina zote muhimu
🤣🤣🤣 ngoja nije huko tbc nipate Radha za miziki yetu ya kiafrica.
 
Hajui kuchambua lolote labda mchele.
Labda jaribu bolingo time rfa sema jammaa na yeye ana maringo sana halaf nchi imevamiwa na bahat na sibu, huku pakua mkwanja kule mchongo pesa , vipindi vimekua vya kucheza bahatnasibu
 
Kwema.

Mimi binafsi napenda sana kusikiliza nyimbo za KIKONGO bolingo sebene nk sasa zamani cloud walikuwa na Ben kinyaiya jamaa alikuwa anaendesha kipindi safi safi sikumbuki jina la kipindi ila ilikuwa inadili na nyumba za Congo na hapa nyumbani kiufupi jamaa alikuwa anachambua labda tuseme Koffi Olomide basi atamchambue vizuri nyimbo inapigwa anakutafsria mbaka unafurahia

Binafsi nilimkubali sana kwenye uchambuzi wa ma nguli kama pap tax ,Papa Wemba , nk huyu Ben Kinyaiya mwanzo nilijua ni mkongo man Yani una pigwa wimbo anastop anakupa tafsiri na historia ya huyo msanii ni kama yule marehem pale SAHARA MEDIA (RFA) kuna jamaa alikuwa anaitwa Kamkuru kama sikosei Rip alikuwa wa moto sana kuchambua bolingo

Sasa Clouds FM amekuja jamaa anaitwa ADA CADABRA sijui kama nimeandika sawa una kipindi kuanzia saa tano kila juma pili kiukweli Yani ni kama kipo Kwa ajili ya kurusha majina ya watu shar out sijui nani shar out mtu flani Yuko tegete baada ya hapo wimbo unapigwa jamaa ana Baki eeee aaaa aaahha🎶 aha aha aha Yani hachambui

Ile raha ya kusilikiliza inapotea situnataka unatuchambulia hapa anasema hivi huu wimbo ukipigwa mwaka flani kipindi kinanoga mfano Ben Kinyaiya alikipatia sana sasa asaivi imevaki shar out sijui Daud wa Kota nk bro Aca Dabra sijaja kukusagia kunguni lakini ila kipindi chako kinahtaji ubunifu sio mazoea na kutaja taja majina tu na mi guno aha aha aha vingnevyo angekaa tu dj apge playlist aondoke.
Shar out Udart
 
Kwema.

Mimi binafsi napenda sana kusikiliza nyimbo za KIKONGO bolingo sebene nk sasa zamani cloud walikuwa na Ben kinyaiya jamaa alikuwa anaendesha kipindi safi safi sikumbuki jina la kipindi ila ilikuwa inadili na nyumba za Congo na hapa nyumbani kiufupi jamaa alikuwa anachambua labda tuseme Koffi Olomide basi atamchambue vizuri nyimbo inapigwa anakutafsria mbaka unafurahia

Binafsi nilimkubali sana kwenye uchambuzi wa ma nguli kama pap tax ,Papa Wemba , nk huyu Ben Kinyaiya mwanzo nilijua ni mkongo man Yani una pigwa wimbo anastop anakupa tafsiri na historia ya huyo msanii ni kama yule marehem pale SAHARA MEDIA (RFA) kuna jamaa alikuwa anaitwa Kamkuru kama sikosei Rip alikuwa wa moto sana kuchambua bolingo

Sasa Clouds FM amekuja jamaa anaitwa ADA CADABRA sijui kama nimeandika sawa una kipindi kuanzia saa tano kila juma pili kiukweli Yani ni kama kipo Kwa ajili ya kurusha majina ya watu shar out sijui nani shar out mtu flani Yuko tegete baada ya hapo wimbo unapigwa jamaa ana Baki eeee aaaa aaahha🎶 aha aha aha Yani hachambui

Ile raha ya kusilikiliza inapotea situnataka unatuchambulia hapa anasema hivi huu wimbo ukipigwa mwaka flani kipindi kinanoga mfano Ben Kinyaiya alikipatia sana sasa asaivi imevaki shar out sijui Daud wa Kota nk bro Aca Dabra sijaja kukusagia kunguni lakini ila kipindi chako kinahtaji ubunifu sio mazoea na kutaja taja majina tu na mi guno aha aha aha vingnevyo angekaa tu dj apge playlist aondoke.
Wahusika Clouds wameskia kilio chako
 
Mkuu umeandika kwa hasira sana huku ukinuia kutuvunja mbavu...😂

Radio One wana mchambuzi mmoja mahiri sana sana. Pia mpaka leo hakuna anayemfikia Massoud Massoud wa TBC. Jamaa amesomea muziki na anazo hazina zote muhimu
Massoud massoud ni namba nyingine anachambua kuanzia vyombo, mpangilio wa sauti na mangine meeengiiii, kwa unayefatilia unai faidika kweli kweli
 
R.l.P Zuberi Musabaha kipindi Bolingo time RFA enzi hizo ipo juu
 
Back
Top Bottom