Udart JF-Expert Member Joined Nov 5, 2016 Posts 398 Reaction score 586 Dec 23, 2024 Thread starter #21 mbalizi1 said: R.l.P Zuberi Musabaha kipindi Bolingo time RFA enzi hizo ipo juu Click to expand... ewaaa zuber bhn jamaa alikuwa balaa
mbalizi1 said: R.l.P Zuberi Musabaha kipindi Bolingo time RFA enzi hizo ipo juu Click to expand... ewaaa zuber bhn jamaa alikuwa balaa
barakuda JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 299 Reaction score 309 Dec 24, 2024 #22 pesakilakitu said: Hajui kuchambua lolote labda mchele. Labda jaribu bolingo time rfa sema jammaa na yeye ana maringo sana halaf nchi imevamiwa na bahat na sibu, huku pakua mkwanja kule mchongo pesa , vipindi vimekua vya kucheza bahatnasibu Click to expand... Hao rfa Hadi usiku wa manane matangazo ya pakua mkwanjwa Yani wanaboa sana
pesakilakitu said: Hajui kuchambua lolote labda mchele. Labda jaribu bolingo time rfa sema jammaa na yeye ana maringo sana halaf nchi imevamiwa na bahat na sibu, huku pakua mkwanja kule mchongo pesa , vipindi vimekua vya kucheza bahatnasibu Click to expand... Hao rfa Hadi usiku wa manane matangazo ya pakua mkwanjwa Yani wanaboa sana
Udart JF-Expert Member Joined Nov 5, 2016 Posts 398 Reaction score 586 Dec 24, 2024 Thread starter #23 barakuda said: Hao rfa Hadi usiku wa manane matangazo ya pakua mkwanjwa Yani wanaboa sana Click to expand... nadhani wametumia njian hiyo kupata Hela za bure
barakuda said: Hao rfa Hadi usiku wa manane matangazo ya pakua mkwanjwa Yani wanaboa sana Click to expand... nadhani wametumia njian hiyo kupata Hela za bure