Clouds fm walichomfanyia Fid Q siyo fair

Mr. Marangu

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,574
Reaction score
1,549
Kweli hawa jamaa nimeamini ni wanfiki siku za nyuma wamewahi kuonesha unafiki kwa wasanii wengi akiwemo Afande Sele, inashangaza sana kutokuwepo kwa jina la FID Q katika list itakayo sherehesha fiesta Mwanza hasa ukizingatia Fid Q ndo mwenyeji wao.

Mbona mikoa mingine waliyoenda waliwapa kipaumbele wasanii wazawa wa mkoa husika , inabidi ifike mahala wasanii waache kunyenyekea hao clouds.
 
Fid Q alikua kwenye kilitour mikoa yote sasa unafikir watamuweka wakati unajua Clous na EATV wakoje
 
Hawa ndo wanaoua muzik wa kizaz kipya,tatzo wasanii wenyewe vitasa tupu wananunulike kiajabu afu mwsho wa siku wanaanza tuomba misaada,nshafunga mlango wa misaada kwa wasanii wa muziki,hakuna future pale,poor cloud
 
jaman watu wanapenda kuhumu bila kusikiliza pande zote mbili nyie mnajua sbb za kutokuwepo kwa Fid q kama ana kazi zake nyingine utajuaje au hawajahafikiana. kwenye malipo na mkumbuke ile ni biashara kila mmoja anaangalia maslahi yake!
 
Well said mkuu hiyo ni biashara kwahiyo wana haki ya nani wamchukue na nani wasimchukue kwenye show zao.
Na fid q inawezekana yeye ndiye akawa amekataa au alikuwa bsy kama ulivyosema.
jaman watu wanapenda kuhumu bila kusikiliza pande zote mbili nyie mnajua sbb za kutokuwepo kwa Fid q kama ana kazi zake nyingine utajuaje au hawajahafikiana. kwenye malipo na mkumbuke ile ni biashara kila mmoja anaangalia maslahi yake!
 
na nyie muandae muite wasanii mnaotaka,kitu ambacho najua kuna wasanii wengi uwa awatajwi kama watakuwepo lakin uwa wanakuwepo
 
Well said mkuu hiyo ni biashara kwahiyo wana haki ya nani wamchukue na nani wasimchukue kwenye show zao.
Na fid q inawezekana yeye ndiye akawa amekataa au alikuwa bsy kama ulivyosema.

yaani siku hizi kitu kidogo cha clouds kinakuwa nongwa na wao wana matakwa yao pia
 
Kwani lazima fid q hawepo?...hiyo ni biashara bna waache wafanye watakavyo...kwani fiesta yao au ya serikali?
 
Tutajuaje kama fidq haku accept deal? Tutajuaje kama fid ni lazima aperfom mwanza? Kigezo cha uzawa si ushahidi.

Mbona diamond mzawa wa kigoma hakuwepo fiesta kigoma?
 
Top rap elite(tore) a.k.a bruce lee wa rap ya africa,ngosha the don ,mwanamalundi! Yote yake!fareed ni best hata pasipo hao wafu fm
 

Clouds....
wanazaa,
wanalea,
wanakuza,
wanaua,
wanafufua.
 
ipo siku zama zao ztafika ukingoni nania aliamini ipo siku radiofree/kiss fm wangefulia nani aliamini ipo siku fredwaa ange log off radio free
 
Umejuaje kama hawajamualika? Hata hivyo wana uhuru wa kuchagua nani awepo kwenye tamasha lao na nani asiwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…