Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,574
- 1,549
Kweli hawa jamaa nimeamini ni wanfiki siku za nyuma wamewahi kuonesha unafiki kwa wasanii wengi akiwemo Afande Sele, inashangaza sana kutokuwepo kwa jina la FID Q katika list itakayo sherehesha fiesta Mwanza hasa ukizingatia Fid Q ndo mwenyeji wao.
Mbona mikoa mingine waliyoenda waliwapa kipaumbele wasanii wazawa wa mkoa husika , inabidi ifike mahala wasanii waache kunyenyekea hao clouds.
Mbona mikoa mingine waliyoenda waliwapa kipaumbele wasanii wazawa wa mkoa husika , inabidi ifike mahala wasanii waache kunyenyekea hao clouds.