Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Tokea Cliuds FM waamue kumjumuisha mchezaji mstaafu Amri Kiemba katika kipindi cha michezo cha mchana siku ya j2 kama mchambuzi, nimekuwa nafuatilia kila nipatapo nafasi na sasa naona kama wameshindwa kumtumia vilivo gwiji hili.
Badala yake wanamuelekeza katika mahaba ya timu, ligi na hata mchezaji mmoja mmoja. Namshauri, Kiemba, afanye maamuzi magumu ya kujiunga E FM
Badala yake wanamuelekeza katika mahaba ya timu, ligi na hata mchezaji mmoja mmoja. Namshauri, Kiemba, afanye maamuzi magumu ya kujiunga E FM