Nadhani radio zipo nyingi kama yalivyo magazeti. Unajuwa inategemea mtu unapenda kusikiliza habari za namna gani. Kama redio au gazeti linataja mambo siyoyapenda.. kwa nini usiipotezeee tuuuu. Uzuri ni kuwa redio zetu zinaweza kushika stesheni moja at a time,.. we badili frequency tu badala ya kubaki kulalamika.
Sio siri kuwa Jakaya anawatumia sana clouds katika kuhamasisha vijana na ndio maana yuko karibu sana na Joseph!! Huyu mtangazaji Kibonde hana upeo mkubwa wa kujua mambo kwani elimu yake ni basic tu kwahiyo hana tools za kuweza kuona uhusiano kati ya Meremeta na hii report ya U.N. kuhusu usafirishaji wa silaha kwenda DRC kupitia Lake Tanganyika. Sintashangaa iwapo hata hiyo issue ya Meremeta pengine haijui!! Hawa ndio sampuli ya vijana Mkulu anaotaka waongoze nchi!! Kumbukeni hawa clouds ndio lilikuwa kimbilio la kwanza kwa Masha kutaka kujisafisha alipokumbana na sakata la Mengi!
JK mwenyewe ni type hiyo hiyo. Kama mpaka sasa hivi pamoja na kuwa kwenye uongozi na exposure yote yuko hivi, je asingesoma si ndio ingekua balaa?
Hawa jamaa wa clouds FM wana matatizo sana na hasa hicho kipindi cha Jahazi wanatumia lugha ya matusi na maneno ya mitaani as if inasikilizwa na wahuni wa mitaani, ilhali watu wenye heshima zetu nasi tunasilkiliza ili tupate habari, lakini matokeo yake tunakereka.
A.k.a Radio ya Watu . Hii ni radio inayo wakilisha watu wanapo openda kujiburudisha zaidi ,na maalum kwa vijana walio na umri kianzia 15 - 35 ,kuilumu sana nadhani ni kuionea ndio mana ikaitwa Kijiwe.
Kwenye radio hiii hakuna kipya zaidi ya ku brainwash vijana wa kitanzania kwa kuwapumbaza kwa kuwadangnya kuwa msanii fulani hafai na fulani anafaa kwa maslahi ya wenye radio .
Kiufupi ni inatoa burudani kwa watu wasio upeo wa kufikiri kwa kiwango kikubwa .
Kuna tetesi kwamba Clouds imenunuliwa na Don Rostam na wenzake.
_______________________________________________________
MASHOGA, WASAGAJI, MAMENDE WAUAWE. HAWANA TOFAUTI NA WAUAJI WA MA ALBINO.
teh teh teh kwa hiyo hawajaponda tena? kuna mshikaji huku alisema atawastua naona wameelewa somo!!Hahahahaha saizi wameisoma habari ya Mnyika naona wamo jamani teh teh teh
In short CLOUDS INASHUKA THAMANI WASIPOANGALIA WATASHUKA HADI WAFIKIE LEVEL YA MAGAZETI YA UDAKU YA AKINA SHIGONGO!!
teh teh teh kwa hiyo hawajaponda tena? kuna mshikaji huku alisema atawastua naona wameelewa somo!!
Unajua magazeti ya Udaku yanalipa sana kuliko magazeti haya mengine maana haya yanasomwa na lower class na mid class kwa hiyo hawa jamaa wanavuna pesa asikwambia mtu.
I see its all about money mpwa!!! who cares whether you maintain the standarda or rather abide by the ethics!!! kazi ipo
Watangazaji wa Clouds Fm, Kibonde na Gadner wamemshukia mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CHADEMA John Mnyika na kueleza kwamba anachanganya mambo. Wanahabari hao waliyasema hayo katika kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo hicho.
Jambo hilo lilijitokeza wakati wakisoma magazeti katika kipindi hicho ambapo Kibonde aliamua kumpuuza na kupuuza kuisoma habari iliyokuwa ukurasa wa mbele wa gazeti la Dar Leo.
Gazeti hilo lilinukuu kauli ya Mnyika kuhusu ripoti ya Umoja wa Mataifa(UN) inayohusisha Tanzania na tuhuma za uuzaji na silaha.
Kibonde alisema kuwa kitendo cha Mnyika kutaja suala la dhahabu na Kampuni ya Meremeta, na madini na ripoti ya UN inayohusu silaha ni kuchanganya mambo kwa lengo la ubunge wa ubungo mwaka 2010.
Hivyo, Kibonde aliacha kuisoma habari hiyo hewani kwa kauli ambayo iluungwa mkono na Gadner.
Kwa tukio hilo Clouds Fm imeweza kumuumbua vizuri Mnyika kwa kuwa redio hiyo ni kipenzi cha vijana kote Dar es salaam ikiwemo katika jimbo la Ubungo.
Tukio hilo ni dalili ya wanahabari kuwa makini katika kuchambua mambo na hivyo kuepuka propaganda chafu za wanasiasa dhidi ya CCM na serikali yake
........ndiyohiyo
A.k.a Radio ya Watu . Hii ni radio inayo wakilisha watu wanapo openda kujiburudisha zaidi ,na maalum kwa vijana walio na umri kianzia 15 - 35 ,kuilumu sana nadhani ni kuionea ndio mana ikaitwa Kijiwe.
Kwenye radio hiii hakuna kipya zaidi ya ku brainwash vijana wa kitanzania kwa kuwapumbaza kwa kuwadangnya kuwa msanii fulani hafai na fulani anafaa kwa maslahi ya wenye radio .
Kiufupi ni inatoa burudani kwa watu wasio upeo wa kufikiri kwa kiwango kikubwa .
Wana JF;
Gadna sijui kama anajua hata JF ina exist.
FP