Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
La 4....??? Umenusurika kufungwa..........dahhh..ntavumilia tu mke nimemtoa mbali toka tuko darasa la 4 kwetu njombe..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La 4....??? Umenusurika kufungwa..........dahhh..ntavumilia tu mke nimemtoa mbali toka tuko darasa la 4 kwetu njombe..
Wakati mwingine tuwe serious, hivi kweli waweza kusikiliza habari kutoka kwa "WAFUGWAJI" hawa (KI-BONDE & GARDENER) ukaamini?....they are not source of credible information, wanachojua ni kufugwa.
Sometimes ukisikiliza kipindi cha Jahazi jioni huwezi kuamini kama hiyo radio mawingu kama ina wasimamizi wa vipindi, ni utumbo mtupu wanaongea...wakurupukaji, wasio na hoja, wanaoleta ubinafsi kwenye chombo cha habari, wenye dharau, wanaotukana hovyo redioni, wafitini,,,,huenda ikiwa ni wachawi pia.
Hoja ya Mnyika iko sawa, tatizo ni Certificate zao hawawezi ku-connect hoja....nime-attach hiyo report ya UN, tatizo je wataweza japo hata kuisoma kama sio kuielewa?kwani imeandikwa kiingereza
Hata kama watangazaji wao wanaelim ndogo, one crdit lazima tuwape ni kwamba, WAPO DOMINANT KATIKA REDIO STATION ZA TZ.
Pili wanahaki ya kutoa maoni kama JF members wengine walivyomkosoa mnyika, so me hapa sioni big deal lolote.
Kuna tetesi kuwa mmoja wao hao ni Mu-Anglikana Anglikana?
Yani nakereka kila nikiingia humu naikuta hii mada ya hawa wajinga wawili inaendelea, hivi hamjui tunavozidi kuwajadili ndio wanapata kichwa hawa coz i'm sure kwamba either watakua wanaingia humu JF au watakua wanapata habari kwamba Great thinkers wanaendelea kuwajadili...pliz lets close the topic..