Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,321
Hi Guys,
Nimeona Clouds Media Group katika vipindi vyao vya michezo wakiendesha kampeni ya kiushabiki wa timu zetu hizi mbili zenye mashabiki wengi yani Simba na Yanga, kampeni yenyewe ni hii NANI ATAFIKISHA MASHABIKI 60k UWANJA WA UHURU?
Hilo suala limeanzishwa kizalendo kabisa ili hizi timu zetu ziweze kutengeneza mapato ili ziepukani na Mabakuri, sasa ni muda wa kuacha ushabiki wa maneno bali ni kwenda kuujaza uwanja wa Uhuru katika mechi hizi.
Nimeona Clouds Media Group katika vipindi vyao vya michezo wakiendesha kampeni ya kiushabiki wa timu zetu hizi mbili zenye mashabiki wengi yani Simba na Yanga, kampeni yenyewe ni hii NANI ATAFIKISHA MASHABIKI 60k UWANJA WA UHURU?
Hilo suala limeanzishwa kizalendo kabisa ili hizi timu zetu ziweze kutengeneza mapato ili ziepukani na Mabakuri, sasa ni muda wa kuacha ushabiki wa maneno bali ni kwenda kuujaza uwanja wa Uhuru katika mechi hizi.