Clouds FM yasababisha Jide kutoshirikiana na wasanii wa Bongo

Clouds FM yasababisha Jide kutoshirikiana na wasanii wa Bongo

Kama tunavyojua ya kwamba Lady Jay dee komandoo hana mahusiano na redii clouds fm,sasa hali hiyo imefanya huyu dada hata nyimbo zake kutochezwa katika kituo hicho.

Kumbuka clouds washakuwa katika tafrani na wasanii kama Mapacha,Sugu,Rama dee n.k,lakini hao wote waliomba msamaha na walisamehewa na bado nyimbo zao hazichezwi pale wala hata interviews hawapewi wala nini! Sasa huyu dada nadhani anaona aibu kuomba radhi clouds fm kwa kuwa anajua hata akiomba msamaha bado hawatacheza nyimbo zake, kitendo cha Jide kugombana na clouds fm kimemfanya akose ushirikiano na wasanii wote wa tanzania na hico kujikuta hakuna msanii anaeomba kufanya collable na yeye.

Hii inatokana na kwamba wasanii wanaogopa endapo watamshirikisha hii maana yake nyimbo haitapigwa clouds fm na ndio redio kubwa Tanzania nzima,ukitaka wimbo wako uvume ni lazima udili na hawa majamaa,kazi ipo
ni lini sugu , mapacha waliomba msamaha kwa Clouds?? , acha uongo asee
 
Mkuu siku hizi mambo yamkebadilika sana, wasanii wanategemea zaidi Video na katika TV, Clouds hawanusi hata chembe kwa EATV, maana siku hizi wameongeza vipindi vingi mno vya muziki, kuanzia Muziki Mnene, Mperampera, Bongo Hits na nyingine. Hivyo wasanii siku hizi wanadili zaidi na video kuliko audio.

ishu sio contents/programs zao, je Coverage ya EATV iko sawa na ya Clouds TV ? je nani kati yao anapatikana kwenye satellites nyingi kuliko mwenzie / nani anawafikia watu wengi zaidi kuliko mwenzie? mzee mengi akiibusti eatv ionekane kwenye DSTV na zaid ya hapo basi ataifanikishia mambo mengi sana kwa wasanii wetu
 
Kuna kitu naona watu wengi hawaja kidaka apa, ni ukweli kiwa jide kapoteza ushirikiano (wa kisanii) na wana muziki wengi kwa sabab ya hlo bif si la kubisha

Ila pia lady ana survive juz tuu kapga show na EA radio kigambonino, alaf na mleta uzi jitajid uskilize radio kama EAradio na Efm, uko anga fm una kosa mengi sana,
Ndi ndi ndo ndo abar ya mjin now
 
ni lini sugu , mapacha waliomba msamaha kwa Clouds?? , acha uongo asee
Sugu, rama dee hawakuomba msamaha ila hao mapacha waliomba msamaha n walipeleka ngoma yao xxl kutambulishwa ila walikuwa km wanachorwa na wakina mchomvu n b12 n maswali ya kudharishwa ngoma ikapigwa cku mbili ikatiwa kapuni
 
Back
Top Bottom