Clouds lazima watambue kuwa hawana nguvu ya kufanya kila watakacho

Clouds lazima watambue kuwa hawana nguvu ya kufanya kila watakacho

Radio zipo nyingi lakini sio zote zinaweza Fanya Promo kuishinda Clouds!! Jamaa wana connection kibao. Kumbuka Tuzo nyingi za nje Clouds wanakuwa informed na wandaaji kupeleka majina ya wasanii wa bongo. Kuna EFm hawa bado wanaendelea kujiimarisha ndio maana Ruby amelazimika kurudi tena Clouds baada ya kuona arapotea kabisa.
 
Watu wanailaumu clouds kuwa wanawanyonya wasanii!! Kivipi??? Clouds wanamatamasha 2 tu Fiesta na Afterskol bash! Sasa sijui wanaolalamika kunyonywa ni ktk hayo matamasha 2 au?????
 
ndio maana kazi zangu za tamthilia sipeleki Clouds fm napelekaga EFM , DSTV, AZAM TV na TV1

CLouds wabaya sana acha Mheshimiwa Makonda awanyooshe!
Nielekeze hizo kaz nikaangalie...jina na mtunzi
 
Mara nyingi clouds hua na last laugh.

Mnakumbuka ishu ya Makonda kutaka fiesta iishe saa sita? Mpaka siku moja kabla watu wanajua fiesta mwisho saa sita...

Kilichofuatia ITV??
 
Wanajisikia sana hao wcb na uswahili mwingi kuliko kitabu akuna mwenye busara anaye weza toa ushauri kwa mwenzake
Sasa wamegombana kalbia na media zote kubwa na hivyo vi tv vyao avitafika popote
 
1. msani antakiwa alipe kila promo anayopewa (interview mention updates) hamma msani anaelipa. na msani anatakiwa alipwe kwaajili ya mziki wake pale siku 90 zikipita ambayo ni kama grace period. wimbo unalipiwa ukiombwa au kuwa requested na wasikilizaji. baada ya hizo siku 90 kama redio inacheza huu wimbo kuupromote na haujaombwa na wasikilizaji....msani anatakiwa alipe. hivo ndivo wamavofanya nje
Totally Wrong. Hamna msanii anayetakiwa kuilipa radio kwa ajili ya interview, don't you see media houses wana vipindi vingi sana vinavyowahusu Wasanii na sababu kubwa ni kuwa wasikilizaji na watazamaji wako interested zaidi na stories zao. Unataka kuniambia siz kitaa na shilawadu inabidi walipwe wanapowafanyia interview wasanii
 
Nadhani Ruge yupo katikati ya dili nyingi sana zinazotakiwa kuwafikia wasanii directly. Mfano ambassador issues na matangazo mengine yanayohusiana.

Watu wanailaumu clouds kuwa wanawanyonya wasanii!! Kivipi??? Clouds wanamatamasha 2 tu Fiesta na Afterskol bash! Sasa sijui wanaolalamika kunyonywa ni ktk hayo matamasha 2 au?????
 
Wabongo ni wanafiki sana ndo maana Trump kawaambia ukweli..basi nawewe anzisha media yako uwasaidie hao wasanii wako
 
WCB acheni kulalama kazeni,komaeni sio lazima kazi zichezwe clouds,na nyie si mnaanzisha Radio/TV mfanye ambayo redio nyingine hawafanyi tuone kama na nyie hamtalalamikiwa,Komaeni kama JIDE.
 
Wakat sugu anapigana na clouds hii management ya cwb sasa hivi walikua sana upande wa clouds sasa hivi ndo wanajikuta wanajua ubaya wa ruge sio? Acha wauane wenyewe tu coz hamna mwema hapo labda diamond peke yake
 
Wasanii wa bongo wengi machoko hata hao clouds wakiwanyonya mavi ni sawa tu
 
Totally Wrong. Hamna msanii anayetakiwa kuilipa radio kwa ajili ya interview, don't you see media houses wana vipindi vingi sana vinavyowahusu Wasanii na sababu kubwa ni kuwa wasikilizaji na watazamaji wako interested zaidi na stories zao. Unataka kuniambia siz kitaa na shilawadu inabidi walipwe wanapowafanyia interview wasanii

kutangaza kwenye redio ni laki tano kwa sekunde 60. Nakuambia tu ili ujue. vipindi viko vingi sana kuhusu wasanii ila hamna ulazima wa wao kufika studio unless kuna uhitaji ni bur kutoka media ni bure.. ilawao wanavolaunch siju video, mziki mpya kwanini wasilipie kwa mda wanaotumia? Nje wanalipa sanaaaaaaa kwa media wakienda kuongea na kwa taarifa yako hamna msani anayeitwa na redio...wao ndo wanaomba kwenda redioni
 
Hivyo vitu kawaida ktk Afrika kila kitu is kind of shithole hata WCB pia ni shithole...au umewaona watu wazuri saaana wale???
 
Mimi bado sitaki kuamini kama kuna bifu;Mondi hana ujanja wa kumzingua Joe,kuna marketing strategy ipo hapo
 
Shida iko hivi, hao jamaa wamekuwa kwenye industry kwa muda mrefu kwa hiyo wanaaminiwa na wadau wengi hata mashirika. Kwa hiyo kwenye events nyingi zinazohusisha uwepo wa wasanii, waandaaji huwa wanawatumia hao clouds kuwatafutia wasanii. Kwa hiyo kama hauko nao vizuri utaumia. Hawa ndio madalali wa hii game.
shida ya watanzania ni watu hamtumii akili. unagombana na jirani yako afu unataka akugaie sukari? clouds ni bishara kama biashara nyingine..mkizinguana hawakupi support. clouds hawana shida yeyote...hawajahi kumfuata msanii yeyote... wasanii ndo wanawafuata wao sasa kama mnaona mnashindwa kufanya nao si wasepe. me siwapendi hao watu clouds ila kwa hili nawatetea. watanzania mnapenda kunyea mikono inayowalea penda sana kupewa vya bure mkiombwa na nyie mnakimbilia kusema mmenyonywa...jamani promo za bure wasanii wanaomba sana mpaka wanakera mshkaji wangu ni mtangazaji aise ukiiijua hio industry wala hutowalaumu clouds... wakifanyiwa wao wasanii wanakimbia kulia wameonewa basi wakae mbali na hiyo media mbona wanajirudisha wenyewe..redio ziko 120 Tanzania ila hilo la clouds waaawaaache jamani
 
Wakat sugu anapigana na clouds hii management ya cwb sasa hivi walikua sana upande wa clouds sasa hivi ndo wanajikuta wanajua ubaya wa ruge sio? Acha wauane wenyewe tu coz hamna mwema hapo labda diamond peke yake
Mkuu umemtaja Sugu, huyo jamaa ndio alikua mjeshi wa kweli ktk vita na Luge na ndio msanii aliemsumbua sana kichwa jamaa
 
Kwani kuna issue gani wadau? Kama ni suala LA shilawadu na moses mbona kama halihusu wcb? Maana moses alifanya yale kama yeye wala hakutumwa na wcb wala wcb hawahusiki kabisa. Kuna nini tena jamani?
Kilicho fanyika ni kwamba WCB wametengeneza mgogoro wao wenyewe na lengo lao ni kutafuta kiki na kutangaza kiredio chao! Hakuna sababu yeyote ya kuanzisha bifu na media nzima ya clouds wakati aliyefanya upumbavu ni mose iyobo so iyobo amekuwa chanzo tuu cha wcb kutengeneza zengwe ikumbukwe kuwa moze iyobo aliwahi kumwita hamorapa nyani' iyobo kwa ufupi ni hovyo sana! WCB Wanatengeza zengwe ili ionekane CLOUDS wabaya ili ka redio kao katake over! Mondi na mameneja wake wahuni sana.
 
Back
Top Bottom