Clouds Media bado wana mapenzi na Diamond!!!

Clouds Media bado wana mapenzi na Diamond!!!

Yes, ni kweli mkuu! Ninachojaribu kusema sio kwamba Ruge anafanya poa, hapana ninachojaribu kusema ni kwamba ametengeneza soko ambalo ili msanii utoke lazima umlambe miguu, Ruge hapendi kudharauliwa kwa kazi aliyoifanya, na Ruge anapiga pesa kupitia wasanii aliowasaidia, tatizo ni hizo za dharau anazomuoneshea kwamba mimi pia ni mkubwa, Ruge katika industry ni Godfather wa diamond, so kama diamond ameingia kwenye industry aliyopo Ruge hapo kinachofata ni ushindani tu kibiashara na sio bifu, Sebastian Ndege mzee wa njia panda anamiliki band na radio, lakini hana bifu na Ruge,

Ugomvi wa Ruge na Diamond haupo pia, ugongomvi uliopo ni kati ya Ruge na Kusaga tu, Kusaga ndo mmiliki wa Wasafi tv na Radio, diamond karanga while Ruge yuko na chibu perfume na wasafi.com
Diamond ni mdogo hawezi na hatokaa aweze bifu na Ruge ningemshauri asijiingize huko kabisa, kama amejiona na yeye ni mkubwa anaweza tengeneza soko lake mwenyewe kama alivyofanya Majizzo na maisha yakaendelea
Una uhakika gani kama Wasafi tv na Radio ni za Kusaga na siyo za Makonda? Au maneno ya Mange Kimambi ndiyo unayorefer?
 
Una uhakika gani kama Wasafi tv na Radio ni za Kusaga na siyo za Makonda? Au maneno ya Mange Kimambi ndiyo unayorefer?
Hapana sina proof yoyote, ila ndo hivyo ilivyo, niliambiwa na mtu ambaye tupo wote kwenye digital industry, baada ya kusoma draft ya MOU
 
Yes, ni kweli mkuu! Ninachojaribu kusema sio kwamba Ruge anafanya poa, hapana ninachojaribu kusema ni kwamba ametengeneza soko ambalo ili msanii utoke lazima umlambe miguu, Ruge hapendi kudharauliwa kwa kazi aliyoifanya, na Ruge anapiga pesa kupitia wasanii aliowasaidia, tatizo ni hizo za dharau anazomuoneshea kwamba mimi pia ni mkubwa, Ruge katika industry ni Godfather wa diamond, so kama diamond ameingia kwenye industry aliyopo Ruge hapo kinachofata ni ushindani tu kibiashara na sio bifu, Sebastian Ndege mzee wa njia panda anamiliki band na radio, lakini hana bifu na Ruge,

Ugomvi wa Ruge na Diamond haupo pia, ugongomvi uliopo ni kati ya Ruge na Kusaga tu, Kusaga ndo mmiliki wa Wasafi tv na Radio, diamond karanga while Ruge yuko na chibu perfume na wasafi.com
Diamond ni mdogo hawezi na hatokaa aweze bifu na Ruge ningemshauri asijiingize huko kabisa, kama amejiona na yeye ni mkubwa anaweza tengeneza soko lake mwenyewe kama alivyofanya Majizzo na maisha yakaendelea
Kuna kitu sielewi, Kusaga ndiyo mmiliki wa wasafi tv/radio, huyu kusaga si ndiyo mmiliki wa CMG?

Kama ni mmiliki wa CMG kwanini aanzishe WASAFI TV/RADIO?
 
Uwe shabiki wa Diamond au shabiki Wa Ali Kiba au hata shabiki wa Nandi na Bill Nas

Kitendo cha nchi yetu kuwa na mtu mmoja tu alo shikiria industry nzima ya mziki yafaa kikemewe. Huwa mnamsifia Ruge kwa kubania watu, anawalipa?. Hii ni dalili ya umasikini hata wa kimawazo. Leo mnaweza mkawa mna emjoy wasanii wenu wanapatana na Ruge kesho akiwafungia mtaona effects zake pia. Lazima kama taifa tuwe na reforms kwenye hizi ishu. Hata hao wasanii ambao wanapatana na Ruge wamefanya nini maishani? Wengi hata wakifa hufa maskini na maisha yao hayaendani na majina na pesa walizo ingiza wakiwa wasanii. We have to do better kwa kweli.
 
Kuna kitu sielewi, Kusaga ndiyo mmiliki wa wasafi tv/radio, huyu kusaga si ndiyo mmiliki wa CMG?

Kama ni mmiliki wa CMG kwanini aanzishe WASAFI TV/RADIO?
Yule ni mfanyabiashara tu, ni mmiliki wa Clouds lakini pale CMG mwenye nguvu ni Ruge, pia huenda anaona clouds inashuka so inabidi afanye investment sehemu tofauti, kumbuka bifu la kimedia kati ya wasafi na clouds litamuongezea hela Kusaga, yeye yupo kibiashara tu!
 
Wasi wasi wenu maana dj wa ile event alikuwa DjDommy wa Clouds fm
 
Ruge ndiye aliyeufanya mziki wa bongo flavor ukae kibiashara, namaanisha yeye ndiye aliyetengeneza soko lake ndani na nje, na yeye ndiye alishika soko lao, East Afrika walichemka, kina majizzo walijikita kwenye burudani lakini Ruge peke yake ndo alijikita kwenye biashara, kabla ya Ruge kuupeleka mziki huo level za kimataifa aliurasimisha ukawa na haadhi hapa nchini, nani mkulu angekaa enzi hizo kusikiliza Julietha na nyambizi? Ulichukuliwa kihuni tu, alifanya juhudi kuua hipo hop kabisa ili wasanii wote waimbe wakiwa civilized! Na kupitia makundi yote ya ki hip hop gangsters yalikufa, hapo kabla ungesikia EastCost wana bifu na TMK wanaume japo wote walionekana machoko mbele ya Nako2Nako na Kikosi cha mizinga, huku unamkuta fid q na pale dudubaya, mabifu ya kuhuni kabisa, Ruge alipofanikiwa kuua hipo hipo akamgeuza na fid q kuwa muimba taarabu siku hizi, pima uwezo wa Ruge alipomwambia Mrisho Mpoto Mjomba, acha ufala tafuta hela, muziki wako uingize hela, tangu hapo mjomba anaimba nini? Zaidi ya kualikwa Ikulu ka mwanasiasa, kazi ya Ruge katika hiyo industry ni kubwa japo yapo ya hovyo pia alifanya, amewanyonya wasanini lakini ni yeye aliyewasaidia leo kila msanii analilia ngoma yake ichezwe clouds

Hata asipocheza ngoma yako ila anajua fitina zote za hiyo industry coz he blooded to build it, jiulize tangu diamond ametoswa na clouds kuna show gani ya maana amewahi kuifanya ya kumuingizia mkwanja? Kama alivyompandosha atamshusha tu, yaani diamond asahau kukanyaga Ikulu tena mark my words, hao wasanii wote ambao Ruge kawalea na kuwakuza anaouweza kuwa destroy kama alivyofanya kwa wengine kina Saida tena dada yake, na wengine kibao, THT wakati inaanza alikuwepo kina Vumilia na tangu alipotoka kujiunga na band hadi leo hasikiki!

Kwakifupi dogo diamond anakosea sana na management yake inamdanganya, alimzingua Bob junior na Kiba waliomsaidia hadi ruge na kina babu tale kumjua, anamzingua na Ruge aliyemsaidia kufika hapo alipo leo, clouds ilikuwa haipiti siku bila kusikia nyimbo ya diamonds sasa hivi ameota mapembe subiri tu promo atakayopewa kiba utashangaa.....!
Umesahau juzi tu kaitwa na magufuli kwny ufunguzi wa uwanja pale JNIA au napo ni kwa msaada wa ruge?
 
Yule ni mfanyabiashara tu, ni mmiliki wa Clouds lakini pale CMG mwenye nguvu ni Ruge, pia huenda anaona clouds inashuka so inabidi afanye investment sehemu tofauti, kumbuka bifu la kimedia kati ya wasafi na clouds litamuongezea hela Kusaga, yeye yupo kibiashara tu!
Hivi ukisema clouds inashuka,unakua umemaanisha nini?
 
Ruge ndiye aliyeufanya mziki wa bongo flavor ukae kibiashara, namaanisha yeye ndiye aliyetengeneza soko lake ndani na nje, na yeye ndiye alishika soko lao, East Afrika walichemka, kina majizzo walijikita kwenye burudani lakini Ruge peke yake ndo alijikita kwenye biashara, kabla ya Ruge kuupeleka mziki huo level za kimataifa aliurasimisha ukawa na haadhi hapa nchini, nani mkulu angekaa enzi hizo kusikiliza Julietha na nyambizi? Ulichukuliwa kihuni tu, alifanya juhudi kuua hipo hop kabisa ili wasanii wote waimbe wakiwa civilized! Na kupitia makundi yote ya ki hip hop gangsters yalikufa, hapo kabla ungesikia EastCost wana bifu na TMK wanaume japo wote walionekana machoko mbele ya Nako2Nako na Kikosi cha mizinga, huku unamkuta fid q na pale dudubaya, mabifu ya kuhuni kabisa, Ruge alipofanikiwa kuua hipo hipo akamgeuza na fid q kuwa muimba taarabu siku hizi, pima uwezo wa Ruge alipomwambia Mrisho Mpoto Mjomba, acha ufala tafuta hela, muziki wako uingize hela, tangu hapo mjomba anaimba nini? Zaidi ya kualikwa Ikulu ka mwanasiasa, kazi ya Ruge katika hiyo industry ni kubwa japo yapo ya hovyo pia alifanya, amewanyonya wasanini lakini ni yeye aliyewasaidia leo kila msanii analilia ngoma yake ichezwe clouds

Hata asipocheza ngoma yako ila anajua fitina zote za hiyo industry coz he blooded to build it, jiulize tangu diamond ametoswa na clouds kuna show gani ya maana amewahi kuifanya ya kumuingizia mkwanja? Kama alivyompandosha atamshusha tu, yaani diamond asahau kukanyaga Ikulu tena mark my words, hao wasanii wote ambao Ruge kawalea na kuwakuza anaouweza kuwa destroy kama alivyofanya kwa wengine kina Saida tena dada yake, na wengine kibao, THT wakati inaanza alikuwepo kina Vumilia na tangu alipotoka kujiunga na band hadi leo hasikiki!

Kwakifupi dogo diamond anakosea sana na management yake inamdanganya, alimzingua Bob junior na Kiba waliomsaidia hadi ruge na kina babu tale kumjua, anamzingua na Ruge aliyemsaidia kufika hapo alipo leo, clouds ilikuwa haipiti siku bila kusikia nyimbo ya diamonds sasa hivi ameota mapembe subiri tu promo atakayopewa kiba utashangaa.....!
Wewe upo dunia ya ngapi ndugu yangu Diamond mwaka huu mpaka sasa anashoo tatu za kimataifa One Africa na shoo moja ya World cup ,hapo bado kenya mwaka huu kishapiga show zaidi ya tano kubwa,Diamond ndiye msanii mpaka sasa nyimbo zake mbili tu SIKOMI na Africa beuty zina jumla ya views zaid ya mil 25,African beuty na album yake ktk chart za Itune Kenya zimekaa no1 zaidi ya wiki 2+,hivi ni msanii gani kwa mwaka huu alifanya nusu ya huyu Diamond mtaje ww .Alafu ngoja nikwambie kitu ndugu yangu kumsaidia mtu ni jambo zuri ,ila kumsaidia mtu ukiwa na matarajio ya kumnyonya ni jambo baya hata mbelle za mungu.Hivi unamjua Messi Barcelona yule wamemkuza tokea mdogo mpaka sasa na kwa kumthamini Messi anakula ela ndefu kuliko wachezaji yoyote yule Barcelona.
Eti Diamond asahau kukanyaga Ikulu wakati juzi mkulu mwenyewe kampigia simu kumpongeza kwa kuchagulia kuimba wimbo na kutumuiza World Cup na alimwalika ktk uzinduzi wa RADA (Je mpaka hivi sasa kuna msanii gani kafanyiwa hivi?) au umesahau alafu nakuhakikishia kabla ya kwenda kombe la dunia Diamond lazima ataenda IKULU (Mark my word).
Sasa unamsaidia mtu alafu anamshusha ndio unafanya nn si bora uache,RUGE na CMG ndio wanatutengenezea MASIKINI WENYE MAJINA MAKUBWA Ngwair kafa ana nini yule,Barnaba msanii aliyekalmilika kuliko msanii yoyote TZ,leo hii ana nini na mziki tayari ushamkataa.Unamtishia Diamond promo,hao wakina Linah,Maua sama,Nandy,Barnaba ,Kiba etc wamemzidi nini Diamond.
Alafu Diamond nyimbo zake kutokupigwa CMG hakujampunguzia chochote kabisa ,alafu sijajua labda ulizaliwa wakati gani lakini kabla ya CMG,kulikuwa redio kali kama RTD,Radio One(enzi hizo kuna Misanya Bingi,Aboubakari sadiki na kwa fujo Dj,Abdallah MAJURA) ,Radio Free Africa leo hii zipo wapi kwa hiyo hata hiyo clouds itapita na kuporomoka tu.Tuijenge insustry yetu kibiashara zaidi na si kuishkaji ili kupunguza WASANII MASIKINI WENYE MAJINA MAKUWA.
 
Aki
Yes, ni kweli mkuu! Ninachojaribu kusema sio kwamba Ruge anafanya poa, hapana ninachojaribu kusema ni kwamba ametengeneza soko ambalo ili msanii utoke lazima umlambe miguu, Ruge hapendi kudharauliwa kwa kazi aliyoifanya, na Ruge anapiga pesa kupitia wasanii aliowasaidia, tatizo ni hizo za dharau anazomuoneshea kwamba mimi pia ni mkubwa, Ruge katika industry ni Godfather wa diamond, so kama diamond ameingia kwenye industry aliyopo Ruge hapo kinachofata ni ushindani tu kibiashara na sio bifu, Sebastian Ndege mzee wa njia panda anamiliki band na radio, lakini hana bifu na Ruge,

Ugomvi wa Ruge na Diamond haupo pia, ugongomvi uliopo ni kati ya Ruge na Kusaga tu, Kusaga ndo mmiliki wa Wasafi tv na Radio, diamond karanga while Ruge yuko na chibu perfume na wasafi.com
Diamond ni mdogo hawezi na hatokaa aweze bifu na Ruge ningemshauri asijiingize huko kabisa, kama amejiona na yeye ni mkubwa anaweza tengeneza soko lake mwenyewe kama alivyofanya Majizzo na maisha yakaendelea
Akina Suge Kight walikuwa magodfather zaidi ya huyo Ruge leo hii yupo wapi.Eti Kusaga awe mmiliki wa Wasafi Radio alafu aiache Choice fm ipumulie mipira ,HAMNA MAFAYABIASHARA ATAKAYEFANYA UPUMBAVU HUO au ndio wale dada mange kasema au wewe BRELA.Hivi kusaga awe mmiliki wa Wasafi Tv alafu nyimbo za WCB zisipige,it doesn't make sense kabisa alafu mbona kumiliki redio kitu easy as long uwe na mkwanja,sijui kama unamjua mtu anayeitwa Abdallah Majura alikuwaga Radio One ,jamaa sasa hivi ana redio yake ,sasa mtu kama Majura anamiliki TV je huyo msanii anayelipwa mil 100+ kwa shoo ndio ashindwe kumiliki Redio.
 
Yes, ni kweli mkuu! Ninachojaribu kusema sio kwamba Ruge anafanya poa, hapana ninachojaribu kusema ni kwamba ametengeneza soko ambalo ili msanii utoke lazima umlambe miguu, Ruge hapendi kudharauliwa kwa kazi aliyoifanya, na Ruge anapiga pesa kupitia wasanii aliowasaidia, tatizo ni hizo za dharau anazomuoneshea kwamba mimi pia ni mkubwa, Ruge katika industry ni Godfather wa diamond, so kama diamond ameingia kwenye industry aliyopo Ruge hapo kinachofata ni ushindani tu kibiashara na sio bifu, Sebastian Ndege mzee wa njia panda anamiliki band na radio, lakini hana bifu na Ruge,

Ugomvi wa Ruge na Diamond haupo pia, ugongomvi uliopo ni kati ya Ruge na Kusaga tu, Kusaga ndo mmiliki wa Wasafi tv na Radio, diamond karanga while Ruge yuko na chibu perfume na wasafi.com
Diamond ni mdogo hawezi na hatokaa aweze bifu na Ruge ningemshauri asijiingize huko kabisa, kama amejiona na yeye ni mkubwa anaweza tengeneza soko lake mwenyewe kama alivyofanya Majizzo na maisha yakaendelea
Boraaa uwaambieeee
 
Yule ni mfanyabiashara tu, ni mmiliki wa Clouds lakini pale CMG mwenye nguvu ni Ruge, pia huenda anaona clouds inashuka so inabidi afanye investment sehemu tofauti, kumbuka bifu la kimedia kati ya wasafi na clouds litamuongezea hela Kusaga, yeye yupo kibiashara tu!
Mhh hivi ndugu yangu ushawahi kufanya biashara hata ya pipi,yaani biashara moja inafeli alafu unaacha unaenda kuanzisha upya biashara ile ile ambayo ulishindwa uisimamisha,hivi unajua gharama ya kuisimamisha BRAND mpya sokoni.
 
Incase hujui hiyo ilikuwa jana serena ambapo kwa marabya kwanza wimbo wa kiswahili wa kombe la duniaa ulikuwa unatambulishwa na kitenge na kibonde walikuwepo kama ma mc wa sherehe hiyo so ni lazimaa kucheza na mambo ya cmg hayahusiani na mtu binafsi kwahiyo kucheza kwake sio kosa
 
Back
Top Bottom