Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
baada ya dj mafuvu kulalamika huko insta Kuwa madj wenzake pale clouds wanambania... sasa clouds wameamua Kuwa..
dj sinyorita, dj scratch designer, na dj d ommy.,na mafuvu mwenyewe.. kwa kupitia mchakato wa kura za mashabiki ..dj mmojawapo Kati ya hao atapiga fiesta songea na mtwara!.. binafsi Mimi kura yangu imeenda kwa DJ mafuvu..
"me ndo bwanaake na dem wangu "..
dj sinyorita, dj scratch designer, na dj d ommy.,na mafuvu mwenyewe.. kwa kupitia mchakato wa kura za mashabiki ..dj mmojawapo Kati ya hao atapiga fiesta songea na mtwara!.. binafsi Mimi kura yangu imeenda kwa DJ mafuvu..
"me ndo bwanaake na dem wangu "..