Wazee wa kubet tunaona rise and fall kwa jicho la tatu, Majizo akichanga karata vizuri game lake na Lulu katika tasnia ya burudani bongo.Ramli chonganishi..anyway CMG ni taasisi ..brainstorming ni afya Kwa kile wanacho-kienenda! Maisha hayatokua sawa kama zamani lakini yatakwenda! Kila La heri!
Mm naona Diamond anaweza kuleta share zake pale na akawa mmoja wa wakurugenzi pale clouds.
Pengine wasafi TV na radio zikaunganishwa clouds na kuwa kampun moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa nini THT?
Ni swala la muda tuKwa sasa effect hazitaonekana, zitaanza kuonekana baada ya mwaka mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
hawawezi chukua mtu nje ya CMG neverNilikua naomba Wamchukue Mexcence Melo kama wananiskia,Melo anauwezo wa kusimama pale na kuziba pengo la Ruge,japo wapo kina Seba Maganga,KP,Reuben Ndege,Siza:Mussa Hussein na Kapiteeeiiin.
For sure.Kwa masikitiko makubwa napenda kutoa pole kwa familia nzima ya Prof Mutahaba,CMG ndugu jamaa na marafiki kwa kumpoteza kijana mahiri,visionary mastermind wa tasnia nzima ya burudani nchini,hakika hakuna anayefurahia kifo cha mwanadamu mwenzake isipokua mchawi na mwanasiasa tu pumzika kwa AMANI RUGE.
Back to the topic,kila.mmoja anajua kwamba taasisi imara ni ile ambayo imejengwa katika misingi ya kutomtegemea mtu bali mfumo,kanuni hii imekua ni kinyume kabisa kwa ndugu zetu hawa wa CMG ambao katika kila sikio la mtanzania ameskia wafanyakazi wa media hiyo wakimtaja.
Boss Ruge (R.I.P) kama ni genius,akili kubwa,Chuo Kikuu kwa maana yeye ndio alikua kila kitu pale mjengoni na wengine ni wafata upepo tu,mtihani mdogo walioputa CMG pasi na uwepo wa Ruge ni ule uliopelekea kuahirishwa kwa tamasha la fiesta jambo ambalo tuliwaskia watu wengi wakiwemo wanafamilia wa clouds wakisema "angekuwepo Ruge wasingefuta fiesta.
Angepambana hadi kieleweke" kwangu mimi binafsi ule ni udhaifu mkubwa sana kwa afya ya taasisi,why Ruge? ina maana hakuwatrain watu wengine kujua mbinu alizokua anatumia kufanikisha mambo ya taasisi ile? now Ruge has gone which is a good thing kwa maadui zake,lengo lao limetimia kwa sasa tutegemee majaribu mengi sana kwa chombo hiki cha habari,
Yatakayopelekea hatari ya kupotea kwenye ramani endapo hawataondoa ile mentality "angekuwepo Ruge" they need to stay strong and focus.....
Reuben Ndege hayupo CMG bwana...Nilikua naomba Wamchukue Mexcence Melo kama wananiskia,Melo anauwezo wa kusimama pale na kuziba pengo la Ruge,japo wapo kina Seba Maganga,KP,Reuben Ndege,Siza:Mussa Hussein na Kapiteeeiiin.
Ni party ya CMG kama ilivo kina Ray mshana,Emanuel Likuda nk.wako pengine ila bado ni familia ya clouds bablai
Ni sehemu ya CMG kama ilivo kina Ray mshana,Emanuel Likuda nk.wako pengine ila bado ni familia ya clouds bablai
Sent using Jamii Forums mobile app
Ray Mshana a very talented kid...CMG walimbania sana,dogo akaona isiwe kesi huyooo usafini sasa hivu anasafisha nyotaNi party ya CMG kama ilivo kina Ray mshana,Emanuel Likuda nk.wako pengine ila bado ni familia ya clouds bablai
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh yeah for sure,ila mimi siombei CMG ipotee coz inaleta changamoto kwa media nyingine kuganya vizuriNi swala la muda tu