Waafrika hasa watanzania njaa sana.
Waafrika hasa watanzania wavivu sana hata application simple tu, wanataka kufanyiwa.
Mtu anashindwa kusoma instructions mpaka mtu mwingine amwelekeze.
Ndio maana Ma Agents wanawapiga Hela sana wajinga.
Kuna huyo jamaa anaitwa Dnyota ku apply kwake DV lottery ilikuwa ni Elfu 50...😄😄
Jamaa kuchota sana hela za mapoyoyo.