American go Talent
India go Talent
Arabic go Talent
Hayo mashindano ya go Talent huwa nayafatilia India ni kwikwi wanajua hadi wanaboa sijui kwa Africa itakuwaje tusubiri.Nangwanda got talent.
Kasholile kasholaZilongwa Mbali, Zitendwa Mbali
Hayo mashindano ya go Talent huwa nayafatilia India ni kwikwi wanajua hadi wanaboa sijui kwa Africa itakuwaje tusubiri.
Ingia you tube uangalie yaani India na America hayo mashindano ya go Talent wako vizurii mnoKibongobongo naona kila mtu atakuja kuonyesha kipaji cha kuimba, we subiri tu.
Kwa east afrika Nairobi ndiyo jiji kinara tukubali tu ukweliKama kaileta yeye,kwanini izunduliwe NAROBI kwanza.
Tunapoamua kufanya biashara ni lazima tufanye juhudi katika matangazo,hata wenyewe katika Talent shows zao maeneo mbalimbali wakitangaza kuwa Tanzania ipo,basi ndiyo tunajiboost,hapa naona kama tutahalisha na Mount Kilimanjaro kuwepo KENYA.
what? Embu weka vizuri hoja yakoTunapoamua kufanya biashara ni lazima tufanye juhudi katika matangazo,hata wenyewe katika Talent shows zao maeneo mbalimbali wakitangaza kuwa Tanzania ipo,basi ndiyo tunajiboost,hapa naona kama tutahalisha na Mount Kilimanjaro kuwepo KENYA.
Hapo sasa ni juhudi za watu wengine kuona hiyo fursa kwa upande wake ameshatengeneza platform kwa TzTunapoamua kufanya biashara ni lazima tufanye juhudi katika matangazo,hata wenyewe katika Talent shows zao maeneo mbalimbali wakitangaza kuwa Tanzania ipo,basi ndiyo tunajiboost,hapa naona kama tutahalisha na Mount Kilimanjaro kuwepo KENYA.
Nafikiri ulisoma kichwa cha habari bila.kusoma contents but sio deal sikuandika hicho ulichosemaayaweeee east africa tv washafeli. hii ilipaswa kuanzishwa na tv ya afrika mashariki ndo ingependeza zaidi. Btw hiyo brand ya GOT TALENT siyo ya joe kusaga ni mali ya wamarekani, kusaga kaomba kapewa japo kwa masharti.