Clouds media kuja na show ya East Africa Got Talent

Clouds media kuja na show ya East Africa Got Talent

Nilishangaa kuisikia Nairobi inatajwa kwny movie ya james bond ya miaka ya 1970's nikajua hawa jamaa ni maarufu kitambo



Sent from my iPhone using JamiiForums
Toka ilipomtoa Obama na Lupita inazidi kufahamika.sana
 
Hapo kama Clouds watakuwa wamefanikiwa sana ila wajaribu kutoegemeza hayo mashindano kwenye media yao. Itaendelea vizuri sana kama show itakuwa independent zaidi
 
Joseph Kusaga ni kichwa balaaa anafikiria mbali sana kuhusu vijana kwenda kuanzisha clouds dubai ambayo ni tv station ya english pekee toka africa, Clouds Rwanda, Clouds Botswana kama sio Zimbabwe.
Kuna interview nilikua nacheki ya Master Jay alikua anahojiwa channel moja dstv anaelezea historia yake na bongo flava ilipotoka anakwambia miaka ile wasanii walikua wanaimba tu bila kupata faida ila anamshukuru Joe Kusaga kwa kuanzisha clouds kwa kubadilisha mziki kuwa wa kibiashara hadi leo watu ni ajira yao.
hivi clouds Rwanda ni ya kusaga hii hii au Ni jina TU?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom