Clouds Media muombeni msamaha Rais Samia, mmemkosea sana

Matukio yameisha, enzi za mwendazake ungesikia mtu katumbuliwa baada ya misa , au barakoa zina wadudu....sasa pamekuwa kimyaaaa inabidi wapige zilipendwa !
 
Hao jamaa kazi yao ni kuandaa fiesta tu, hayo mengine bora wayaache.
 
Na wewe pia tuombe msamaha kwa kutudanganya.Leo hakukuwa na tukio.Wewe ni walewale tu!
 
Mataga wanahangaika kweli kutafuta fursa , kwa kila njia , kila mbinu .
 
Acheni umbea umbea itakuwa wamesahau kusema picha toka maktaba basi!!
Sa100 nimpenda watu na hajioneeeeshi mskitini tofauti nayule akienda chachi mapicha meeengi alafu rohoni anamachuki na mavisasi nawatu sijui alikuwa anashiriki vipi au alikuwa anaungama kila wiki!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…