elmatadorkruz
Senior Member
- Aug 10, 2016
- 195
- 266
Rahisi sana Chief.. Wengi huweka tv e kwa sababu ya vipindi vya muziki mfululizo.. Na /tv e wameamua kuwekeza huko..na maeneo ulotaja muziki "non stop" ndo mahali pake sahihi.
Clouds tv ni wakongwe zaidi ya tv e. Hilo ni faida kwao
Style ya kurusha matangazo yao ni ya kibunifu inayofanya wasipoteze watazamaji wao
Pia clouds tv inabebwa sana na brand ya clouds fm.. Automatically wafuatiliaji wa clouds fm wanajikuta wanafuatilia clouds tv
Asilimia kubwa ya wasikilizaji wa efm ni wanaofuatilia vipindi vya michezo. Wakati tv e ni wafuatiliaji wa muziki.
Clouds tv ina watazamaji wengi zaidi kwa sasa kwa sababu ya coverage kubwa. Imefika maeneo mengi zaidi kuliko tv e..
Angalia idadi ya wadhamini kwenye vipindi vya clouds na tv e. Utagundua clouds tv ina wadhamin wengi.Siku zote Wadhamini wanaweka mpunga wa ktosha kwenye vipindi vyenye watazamaji wengi
Kiujumla angalia idadi ya vipindi vinavyofuatiliwa na watu wengi kwa kila tv, ukubwa wa eneo ambalo tv zote mbili zimekwishafika na style ipi ya urushaji wa matangazo inawavutia watu wengi zaidi kwa tv zote mbili Utagundua ipi ina watazamaji wengi zaidi
Hata hivyo tv e bado inakuwa.
Si ulikuwaga unaniombeaga nipigwe ban
Mods huwa wananionea sana huwa wananipiga ban bila sababu
IPO wazi EATV wapo very professional, kwenye TV za burudani hakuna anayewakaribi. Ila kwa redio Clouds wako poa sana. Hivyo basi kwa TV EATV the best Clouds tv haoni ndani. Na kwa redio Clouds wako the best kuliko EA radio. Ingawa EA radio walikuwa bora sana, sahizi na wao wameingiza uswahili, ingawa kipindi cha jioni cha Drive mi ni msikilizaji wao namba moja. Nakipenda sana