Clouds Media yapigwa gepu na Wasafi Media YouTube

Clouds Media yapigwa gepu na Wasafi Media YouTube

Same to clouds so msiombee kufa kwa biashara za wenzenu mkidhan ya kwenu itadumu
Adui muombee njaa, it is free market the competition is stiff hatutaki monopoly system ili wapange nani atoke kimziki poor system na hatutaki vituo kama clouds kudidimiza vipaji kisa umonopoly na mifumo ya ukandamizaji
 
Zaman CMG ilikuwa inapambanishwa na E Fm hivi sasa inapambanishwa na Wasafi na katika mipambano hiyo CMG huwa inashindwa kwa mujibu wa online pundits cha ajabu badala ya kuipambanisha E media(not sure) na Wasafi media wanakimbilia kwa CMG ambao wanatuambia hata E fm inawapiku.
 
Unavyojipangia namna ya kuishi ndivyo watu watakavyokuchukulia hivyo hivyo,wanamuziki wenyewe walichagua kuinyenyekea clouds bila kulazimishwa. Soon hawa hawa wasafi mtawalalamikia kwa system ya clouds,maana ni mvinyo ule ule ndani ya chupa mpya
Adui muombee njaa, it is free market the competition is stiff hatutaki monopoly system ili wapange nani atoke kimziki poor system na hatutaki vituo kama clouds kudidimiza vipaji kisa umonopoly na mifumo ya ukandamizaji
 
Kweli nimeamini kuna watu humu ni watu wazima lakini akili mmeshikiwa.... hv unadhani ni namna gani unaeza kupima mtu anayekubalika zaid km sio kwa njia ya mitandao??? Ni namna gani unaeza kuona km kuna watu wapo wanaopenda kila unachokifanya zaid ya hii mitandao ya kijamii? Acheni kujifanya nyie ndo wajuaji wakati ndo mambumbumbu wa kutupwa.... mtu hawezi kukifuatilia kitu asichokipenda....
Waliosubscribe utube ni kweli wanania ya kuisikiliza media husika... unapokuwa na subscribers wengi ndio unajitengenezea uwigo wa kuwa ww ubajulikana na unafatiliwa zaidi ya myu mwingine....
Sitawashangaa sana kwa sababu nyie wote ni madingi ya kitambo sana... hii mitandao imekuja umri wenu ukiwa ushawatupa ndo maana bado hamuelewi umuhimu wake.... mnafikiri labda zama hizi bado watu wanakesha sana na kuamkia redio mkulima... zama zimebadirika wajomba

Anyway shule kweli zinafunguliwa... na wa kwenda tutaenda lakini na nyie hili linawahusu... mwende shule mkasome impact za social networks katika ulimwengu huu....
Isitoshe hata hapa tupo ndani ya social network.. na impact yake hakuna acyeijua, ambayo ilimpelekea mpka mwanzilishi wake kukamatwa... so msijifanye kubeza wakati hamjui mambo
 
Adui muombee njaa, it is free market the competition is stiff hatutaki monopoly system ili wapange nani atoke kimziki poor system na hatutaki vituo kama clouds kudidimiza vipaji kisa umonopoly na mifumo ya ukandamizaji
Ukiwa na kipaji kikubwa na nidhamu hakuna media itakayokuzuia kutoka....wasanii wengi average tu...
 
Wasafi kuipita CMG bado kwa sasa ila mwanzo wao ni mzuri lakini wanatakiwa wawe na contents nzuri kuwavutia wasikilizaji.Kuwa namba moja si kazi ngumu,kazi ni kumaintain namba moja.Youtube haireflect ukubwa wa chombo cha habari manake sizani kama EFM wana acc Youtube,ni vizuri usubiri data kutoa TCRA ndicho chombo kitakachokupa picha halisi na si Youtube.
 
Ukiwa na kipaji kikubwa na nidhamu hakuna media itakayokuzuia kutoka....wasanii wengi average tu...
Tanzania ili uonekane una nidhamu lazima ukubali kunyonywa,sasa wengine ni wanajua thamani ya kile wanachokifanya,ndio ugomvi unaanza hapo hivi mtu kama Lady jay dee utasema hana nidhamu.Tatizo media ndio waandaji matamasha ,kwao malipo yao ni promo na ubaya redio siku hizi nazo zimekuwa na ushabiki .
 
Anguko la clouds linapimwa kutoka na youtube subscribers?[emoji15] . Basi Ayo tv itaiangusha Wasafi maana ina subscribers wengi kuliko wasafitv. By the way, hivi shule zinafunguliwa lini?
Ayo nayo Ni tv,Rudi memkwa ukale desa eboooooh
 
Tanzania ili uonekane una nidhamu lazima ukubali kunyonywa,sasa wengine ni wanajua thamani ya kile wanachokifanya,ndio ugomvi unaanza hapo hivi mtu kama Lady jay dee utasema hana nidhamu.Tatizo media ndio waandaji matamasha ,kwao malipo yao ni promo na ubaya redio siku hizi nazo zimekuwa na ushabiki .
Mtu ananyonywaje anakua na mafanikio?
 
Mtu ananyonywaje anakua na mafanikio?
Mafanikio unayapima kwa nini wakati muhusika ambaye ndiye mfanyakazi anadai anaibiwa? Hivi unamjua Lil Wayne ushawahi angalia MTV cribs pamoja na kuwa na magari ya thamani, cheni na hekalu lakini bado akamtuhumu Birdman amemuibia, akamwambia hawezi toa album mpaka alipwe dollar mil 56 na kweli Birdman akaamua kumpa hisa zake za Cash money Lil Wayne sasa hivi animiliki kwa 100% . So ww unaweza kumuona mtu kafanikiwa lakini yy akiyapima ndipo anajua anaibiwa. Michael Jackson pamoja na mafanikio yake lkn alikuwa analalamika SONY wamemuibia, ina maana Michael Jackson au Lil Wayne ni waongo.
 
Mafanikio unayapima kwa nini wakati muhusika ambaye ndiye mfanyakazi anadai anaibiwa? Hivi unamjua Lil Wayne ushawahi angalia MTV cribs pamoja na kuwa na magari ya thamani, cheni na hekalu lakini bado akamtuhumu Birdman amemuibia, akamwambia hawezi toa album mpaka alipwe dollar mil 56 na kweli Birdman akaamua kumpa hisa zake za Cash money Lil Wayne sasa hivi animiliki kwa 100% . So ww unaweza kumuona mtu kafanikiwa lakini yy akiyapima ndipo anajua anaibiwa. Michael Jackson pamoja na mafanikio yake lkn alikuwa analalamika SONY wamemuibia, ina maana Michael Jackson au Lil Wayne ni waongo.
Tofautisha kuibiwa na makubaliano ya kibiashara lil wyne hakuibiwa ila walikua wanatofauti wa kibiashara kati ya Young Money na Cash money na pia Birdman hajampa lil wyne hizo hisa unazosema kwanza cash.money ilikua inamilikiwaga na.kaka yake Birdman so hapo umepotosha.
Tunavyofanya biashara kwamba wewe nikutangaze kama msanii na kukupromote lazima na mim nipate faida either uchukue 40% na mim nichukue 50% maana mim ndie nagharamikia kila kitu sasa unapoona umeshakua we ondoka waje wengine.
Labda nikuulize swali kijana hao.vijana wa WCB wananyonywa au hawanyonywi
 
Tofautisha kuibiwa na makubaliano ya kibiashara lil wyne hakuibiwa ila walikua wanatofauti wa kibiashara kati ya Young Money na Cash money na pia Birdman hajampa lil wyne hizo hisa unazosema kwanza cash.money ilikua inamilikiwaga na.kaka yake Birdman so hapo umepotosha.
Tunavyofanya biashara kwamba wewe nikutangaze kama msanii na kukupromote lazima na mim nipate faida either uchukue 40% na mim nichukue 50% maana mim ndie nagharamikia kila kitu sasa unapoona umeshakua we ondoka waje wengine.
Labda nikuulize swali kijana hao.vijana wa WCB wananyonywa au hawanyonywi
Tatizo lako mbishi kwani wabunge wa upinzani wanalalamika mikataba (makubaliano) ipitiwe upya kwa sababu gani? Kwani mkiwa na makubaliano huwezi ubiwa? Ina Michael Jackson na Lil Wayne hawakuingia makubaliano yoyote? We wenyewe unakubali wametofautiana na kutofautiana kwenyewe ni kuibiwa sasa unakataa nini. Kuna sehemu nimesema vijana wa WCB wana nyonywa mbona unahamisha magoli.
 
Tatizo lako mbishi kwani wabunge wa upinzani wanalalamika mikataba (makubaliano) ipitiwe upya kwa sababu gani? Kwani mkiwa na makubaliano huwezi ubiwa? Ina Michael Jackson na Lil Wayne hawakuingia makubaliano yoyote? We wenyewe unakubali wametofautiana na kutofautiana kwenyewe ni kuibiwa sasa unakataa nini. Kuna sehemu nimesema vijana wa WCB wana nyonywa mbona unahamisha magoli.
Kijana jibu kwa hoja, haya tuassume hatujaingia makubaliano yoyote mimi ni underground na wewe ni media au promoter unatakiwa unipromote mim niwe msanii mkubwa kama wew ungefanyaje ili mimi niridhike.
Note: sijakuambia kwamba umesema wcb wanaibiwa nimekuuliza swali nilikua naomba jibu
 
Back
Top Bottom