Yani clouds watafute matangazo kwa viewers kweli? Kweli Shule zifunguliwe tuWewe ndiyo hujui, vituo hivi vya media vinatengeza pesa pitia viwers, ukiwa na viwers wengi ndipo unapopata matangazo mengi pia viwers walio subscribe kila waki viwe wanaipatia mapato media,
Mbona nishakujibu kama unajibu lako niambie.Huo mfano wako ili ww ulizike inabidi ww uniambie unataka nini? Sasa ww msanii mchanga haya niambie unataka nini? ili na mm nikujibu.Kijana jibu kwa hoja, haya tuassume hatujaingia makubaliano yoyote mimi ni underground na wewe ni media au promoter unatakiwa unipromote mim niwe msanii mkubwa kama wew ungefanyaje ili mimi niridhike.
Note: sijakuambia kwamba umesema wcb wanaibiwa nimekuuliza swali nilikua naomba jibu
Nafikiri nitakua natumia akili sehemu ambayo sio, pia naomba utafute uhusiano kati ya SONY Music na Michael Jackson ili tuweze kuenda sawaMbona nishakujibu kama unajibu lako niambie.Huo mfano wako ili ww ulizike inabidi ww uniambie unataka nini? Sasa ww msanii mchanga haya niambie unataka nini? ili na mm nikujibu.
Wewe ndiye msanii inabidi utafute, kijana principle ya kufanikiwa katika maisha lazima ujijue unataka nini, sasa kutaka utake ww kutafuta nitafute mimi.Nafikiri nitakua natumia akili sehemu ambayo sio, pia naomba utafute uhusiano kati ya SONY Music na Michael Jackson ili tuweze kuenda sawa
Usipotoshe GT kwa maneno ya mitaani Lil wyne kumiliki hisa za Cash money 100%, Michael Jackson kulalamikia sony wanamuibia katafute mmiliki wa Sony Music alikua ni.nani?Wewe ndiye msanii inabidi utafute, kijana principle ya kufanikiwa katika maisha lazima ujijue unataka nini, sasa kutaka utake ww kutafuta nitafute mimi.
Habari ya Lil Wayne nimeona humu mtandaoni source nimeisahau. Sasa nikijua mmiliki ndio itaondoa kwamba Michael Jackson hajaibiwa, kwani Michael Jackson anaingia mkataba na Sony au mmiliki.Usipotoshe GT kwa maneno ya mitaani Lil wyne kumiliki hisa za Cash money 100%, Michael Jackson kulalamikia sony wanamuibia katafute mmiliki wa Sony Music alikua ni.nani?
Oky! Tufanye wewe ndio unajua, hivi cloudstv ni online tv? Next time mkileta habari za youtube shindanishen lemutuzTv na daudaTv. Kwa maana hiyo AyoTv ni tishio kwa wasafiTv kwa sababu AyoTv ina subscribers wengi?Wewe ndiyo hujui, vituo hivi vya media vinatengeza pesa pitia viwers, ukiwa na viwers wengi ndipo unapopata matangazo mengi pia viwers walio subscribe kila waki viwe wanaipatia mapato media,
Bora umenijibia, yaani wanafananisha clouds tv na Ayo tv na lemutus online tv, hivi vitoto vimevamia hapaYani clouds watafute matangazo kwa viewers kweli? Kweli Shule zifunguliwe tu
Jifunze kuandika kiswahili vizuri maana upo kidato cha kwanza achana na uandishi wa shule ya msingi. Ingia TCRA then tafuta online TV’s then rudi kwenye uzi ulioniquote urekebishe upuuzi wakoAyo nayo Ni tv,Rudi memkwa ukale desa eboooooh
Mambo yamebadilika7/1/2019 sio mbali