Clouds na Ruge jaribuni kuplay Fair haya ni maisha tunapita

Clouds na Ruge jaribuni kuplay Fair haya ni maisha tunapita

Mimi namuunga mkono Ruge acha awanyoshe wasanii wakibongo hawana akili kabisa ndomama mtu jina kubwa miaka kibao anaishi chumba cha kupanga
 
Sasa Tangia Jide aachane na clouds ..unafikil nimiaka mingapi...na unafikil anaishije...jide sio mwenzako Gadina mwenyewe alifukuzwa na jide ...alikuwa ana anachomiliki zaidi ya box la cd ...we usimchukulie pow Jide ...yaan Jide anamafanikio makubwa sio mchezo since day one...Sasa wewe unaleta ushabiki wako wa ulanzi...kumbe ukwel unaujua....
Unaanza kuongea maneno machafu... usilete ujanja wa kuiga au limbukeni wa social networks!!!

Jibu nilichokuuliza! Na umeshindwa kujibu kwa sababu hujui lolote kwenye haya mambo to the point hata nikikuuliza huo utajiri wa Jide ni upi sidhani kama unaweza kujibu though hoja ya msingi ni kwamba huo utajiri unaodai anao; aliupata wakati upi!!!! Jibu hilo swali; kama huna jibu, piga kimya!!
 
Uwoga tyu wa maisha na kutoumiza kichwa kwani media ipo moja ?
Kama upo sawa na ni haki yako hakuna hata ya kuomba msamaha ✌ !!
Haya mambo ni zaidi ya kuwa na media ngapi bali it's all about understanding the industry!

Huyu Ruby alianza ku-side na EFM na kuna mtu niliwahi kumwambia hapa kwamba though Majizzo yupo kwenye industry kwa muda mrefu lakini kuna tofauti kati ya kuwa kwenye industry na kufahamu how industry works. Aidha, unaweza kuwa mwanamuziki mkongwe na bado usiwe na uelewa mkubwa wa jinsi biashara ya muziki inavyoenda!!

So, anachowapiga watu bao Clouds ni kwamba, si tu wapo kwenye industry kwa muda mrefu bali pia wanafahamu jinsi industry inavyofanya kazi... wanafahamu fitina zote kwenye tasnia husika! So, hii ni zaidi ya kumiliki radio na kupiga nyimbo zako!
 
Unaanza kuongea maneno machafu... usilete ujanja wa kuiga!!! Jibu nilichokuuliza! Na umeshindwa kujibu kwa sababu hujui lolote kwenye haya mambo to the point hata nikikuuliza huo utajiri wa Jide ni upi sidhani kama unaweza kujibu though hoja ya msingi ni kwamba huo utajiri unaodai anao; aliupata wakati upi!!!! Jibu hilo swali; kama huna jibu, piga kimya!!
Jide utajir wake kaupata kutokana na juudi zake za kazi
Jide kaanza mziki mwaka 1996 sasa sioni unachozungumza kama kina Mantiki yeyote..

Jide anamiliki mgahawa wake
Jide ni mwanziki since 1996

Jide anamiliki Nyumba ya kisasa hapa dar
Jide anamiliki gari zakutembelea sio chin ya 5

Sasa na wewe tuletee reference yako ya wasanii ambao wako chini ya Ruge...tuone wanamiliki kitu gani?
 
Kuna kauli ameiongea Ruby kiukweli kama ndio Wasanii wanavyofanyiwa hivi? Bac balaa! Kauli yenyewe n kuhusu Ruge alimkuta cjui eneo gan Ruby nanukuu "Wee Ruby unafanya nini huku wakati wenzio wapo ktk Fiesta muda huu?!" .. Ruby "Ni Masrai" Duu! Utadhan Mwalim wa Zamu anamfokea Mwanafunzi aliekuwa chimbo kumbe n Mwana muziki !!

Ila Ruby umezengua kwenda clouds kuomba msamaha..ila Pamoja nakuomba msamha..utapotezwa kwenye game na awo awo...msimamo kitu muhimu ..ulibidi uwe kama Lady Jaydee A.k.A komando.

yani nikulipe kufanya show alafu wenzako wako kwenye rehearsal wewe unapuyanga mtaani alafu eti nisikuulize???

Pia unaposema Ruby amekosea kuomba msamaha Clouds unataka dada wa watu apate wapi pesa ya kula na kununua hizo Brazilian hair??
 
Hivi haya maandishi yenu mnaandikaje jamani.

Kwani ukitulia ukaandika vizuri kwa ufasaha inakuaje Stella.
hapo ndo uchat nae ndo utachoka labda(lbda), pamoja(pa1), sawa/poa(k) hawa me huwa kina Stella Njimbwi mimi huwa siwaelewi kabisa, mimi huishia kuwaambia tu "nitakutafuta baadae nina kazi mda huu" kumbe namkwepa simuelewi
 
Kuna kauli ameiongea Ruby kiukweli kama ndio Wasanii wanavyofanyiwa hivi? Bac balaa! Kauli yenyewe n kuhusu Ruge alimkuta cjui eneo gan Ruby nanukuu "Wee Ruby unafanya nini huku wakati wenzio wapo ktk Fiesta muda huu?!" .. Ruby "Ni Masrai" Duu! Utadhan Mwalim wa Zamu anamfokea Mwanafunzi aliekuwa chimbo kumbe n Mwana muziki !!

Ila Ruby umezengua kwenda clouds kuomba msamaha..ila Pamoja nakuomba msamha..utapotezwa kwenye game na awo awo...msimamo kitu muhimu ..ulibidi uwe kama Lady Jaydee A.k.A komando.

Kwa hiyo ulitaka asiombe msamaha aje kula kwako
 
Jide utajir wake kaupata kutokana na juudi zake za kazi
Jide kaanza mziki mwaka 1996 sasa sionj unachozungumza kama kina Mantiki yeyote..

Jide anamiliki mgahawa wake
Jide ni mwanziki since 1996

Jide anamiliki Nyumba ya kisasa hapa dar
Jide anamiliki gari zakutembelea sio chink ya 5

Sasa na wewe tuletee reference yako ya wasanii ambao wako chini ya Ruge...tuone wanamiliki kitu gani?
Hujui lolote kuhusu Jide...

Jide alianzia Clouds kama mtangazaji na akapata attention kubwa ya kimuziki baada ya kuimba wimbo wa maombolezo ya Baba wa Taifa! Sasa Baba wa Taifa alifariki 1996? Kabla ya hapo, Jide alifahamika kama Judith Wambura mwimbaji wa kwaya kanisani kama walivyo waimbaji wengine!

Album yake ya kwanza ni Machozi ambayo ilitoka mwaka 2000. Hii album ilikuwa chini Smooth Vibe Project iliyokuwa inaongozwa na Ruge!

Halafu acha kuruka ruka... jibu swali: Huo utajiri aliupata wakati gani? Ni kabla ya ugomvi wake wa wazi na Clouds au baada?

Ieleweke hakuna anayesema alipata utajiri kwa sababu ya Clouds lakini tunataka kufahamu maendeleo yake kikazi baada ya kutoka Clouds! Btw, huo mgawahawa unaosema wewe unaitwaje na upo wapi?!
 
CLOUDS wanazingatia sana DISCIPLINE hata kama unakipaji au una cheo serekalini, ndiyo maana wamefika hapo walipo!!!!!!!!!
 
hapo ndo uchat nae ndo utachoka labda(lbda), pamoja(pa1), sawa/poa(k) hawa me huwa kina Stella Njimbwi mimi huwa siwaelewi kabisa, mimi huishia kuwaambia tu "nitakutafuta baadae nina kazi mda huu" kumbe namkwepa simuelewi

Kiukweli huwa nakerwa sana na aina hiyo ya uandishi mkuu.
 
Haya mambo ni zaidi ya kuwa na media ngapi bali it's all about understanding the industry!

Huyu Ruby alianza ku-side na EFM na kuna mtu niliwahi kumwambia hapa kwamba though Majizzo yupo kwenye industry kwa muda mrefu lakini kuna tofauti kati ya kuwa kwenye industry na kufahamu how industry works. Aidha, unaweza kuwa mwanamuziki mkongwe na bado usiwe na uelewa mkubwa wa jinsi biashara ya muziki inavyoenda!!

So, anachowapiga watu bao Clouds ni kwamba, si tu wapo kwenye industry kwa muda mrefu bali pia wanafahamu jinsi industry inavyofanya kazi... wanafahamu fitina zote kwenye tasnia husika! So, hii ni zaidi ya kumiliki radio na kupiga nyimbo zako!
Sawa mimi nakubalii fitina ujanja ujanja how industry works wanajua wao ndio ukubali kuwa chini ya mti wakati kipaji unacho !?
 
Sawa mimi nakubalii fitina ujanja ujanja how industry works wanajua wao ndio ukubali kuwa chini ya mti wakati kipaji unacho !?
KIPAJI, narudia with bold, KIPAJI means nothing kwenye haya mambo and what matters ni uelewa wa tasnia ya burudani, iwe muziki au filamu!

And remember, mara zote natumia neno tasnia au industry... which means, kufahamu muziki ni jambo moja na kuifahamu tasnia/industry ya muziki ni jambo lingine! It's necessary to have talent but not sufficient condition ya wewe kufanikiwa kupitia talent yako! Talent yako itakusaidia tu kupata wataalamu wanaoifahamu vizuri tasnia husika or else, kama talent yako ni muziki, basi hesabu utaishia kuimba wakati upo bafuni!!

Hivi watu hatumuoni Diamond?! Hivi utasema Diamond ndie most talented person Afrika Mashariki hii?! What about success?!!

Mwangalie mtu kama Rihanna! Kama si kuonekana na Evan Rogers si ajabu hadi leo hii bado angekuwa kwao Barbados anauza mitumba.

But look at the power of industrial insiders... Baada ya Jay Z kumsaini Rihanna ndani ya Def Jam Records, mwaka mwingi Rihanna akafahamika dunia mzima!!!

Unadhani hapakuwa na talents zingine za kumzidi Rihanna tena wengine tayari kwenye industry!!! So, pale alipo Rihanna anaweza kutia kiburi kwa sababu she's too big compared to a number of records!

Mtu kama Diamond Platnumz anaweza kutia kiburi cuz' he's too big compared hata na industrial insiders wenyewe! Lakini Ruby?! It's too early for her kujifananisha na watu kama akina Lady Jay Dee!
 
Back
Top Bottom