ina maaana wewe hujui Biashara ya Bahati na sibu au una bwabwaja tuNiko ndani nasikia kwa jirani yangu hapa kwamba anatazama tv, lakini kipind kilichopo hewani ni 3mzuka.Sasa wanapigiwa washindi wao ambao wameshinda tatu mzuka, sasa jinsi mtu anvyopokea tukio la kushinda mill 60,mmmmmmmhhhh!!!!.
Yaaan kwanza mshindi hana mfanano kabisa na hizo mil60, yaaan like a cinema zetu vileeee, harafu kwa muda mfupi mtu kashinda million 60,mwingine kashinda million 6,mwingine kashinda cjui 20,000,.000 million
NB:MWENYE KUJUA HILI
Sent using Jamii Forums mobile app
biko itapigwa overtake sasa hivi kwasababu hawako creativebiko biko nyngne hyo
Sent from my Android phone
Baada ya kuona BIKO Wanapiga pesa, na wao wamekuja na 3MZUKA.biko biko nyngne hyo
Sent from my Android phone
hzo jero jero wanazipga kweliBaada ya kuona BIKO Wanapiga pesa, na wao wamekuja na 3MZUKA.
- Wabongo kazi KUHARIBIANA tu, WIZI, ULOZI, TAMAA na KUIGANA IDEA. Akili ndogooo
kwel kampun znazd kuongezekabiko itapigwa overtake sasa hivi kwasababu hawako creative
Ndo hivyo maana wajinga hawaishi. Ni kuwekeza tu kwenye PROMOhzo jero jero wanazipga kweli
Sent from my Android phone