Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Niko ndani nasikia kwa jirani yangu hapa kwamba anatazama tv, lakini kipind kilichopo hewani ni 3mzuka.Sasa wanapigiwa washindi wao ambao wameshinda tatu mzuka, sasa jinsi mtu anvyopokea tukio la kushinda mill 60,mmmmmmmhhhh!!!!.
Yaaan kwanza mshindi hana mfanano kabisa na hizo mil60, yaaan like a cinema zetu vileeee, harafu kwa muda mfupi mtu kashinda million 60,mwingine kashinda million 6,mwingine kashinda cjui 20,000,.000 million
NB:MWENYE KUJUA HILI
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaan kwanza mshindi hana mfanano kabisa na hizo mil60, yaaan like a cinema zetu vileeee, harafu kwa muda mfupi mtu kashinda million 60,mwingine kashinda million 6,mwingine kashinda cjui 20,000,.000 million
NB:MWENYE KUJUA HILI
Sent using Jamii Forums mobile app