ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Habarini wana jamvini.
Leo toka asubuh nimekuwa nikisiliza vipindi mbali mbali katika radio yetu pendwa ya clouds fm, na moja ya vitu nilivosikia kutoka kwa watangazaji mbali mbali wa station hyo ni kutoa sababu kwanini wasanii wetu ali kiba na diamond wamekosa tuzo.
Sababu walizotoa ni kwamba ili kuweza kupata kura unapaswa kuwa karibu na mashabiki nchi nzima, na kwamba njia ya kuwafikia mashabiki kiurahsi ni kupitia tamasha la Fiesta ambalo lipo nchi nzima. Diamond na ali kiba kutoshirik fiesta imemnyima kura nyingi walisema watangazaji hao.
Sasa mi celewi kama kweli hii inaweza kuwa sababu, pia inaonekana clouds wanaumia kutokuwa na wasanii hawa katika fiesta. Je ndo dalili za kumshusha mond zimeanza
Mi naona kuna mambo mengi nyuma ya pazia kama alivosema eddykenzo, kuna harufu ya mchezo mchafu. Pia diamond inaonekana wazi wasanii wenzake hawafurahishwi na mafanikio yake.
Vote for Kiba best african act
======
Leo toka asubuh nimekuwa nikisiliza vipindi mbali mbali katika radio yetu pendwa ya clouds fm, na moja ya vitu nilivosikia kutoka kwa watangazaji mbali mbali wa station hyo ni kutoa sababu kwanini wasanii wetu ali kiba na diamond wamekosa tuzo.
Sababu walizotoa ni kwamba ili kuweza kupata kura unapaswa kuwa karibu na mashabiki nchi nzima, na kwamba njia ya kuwafikia mashabiki kiurahsi ni kupitia tamasha la Fiesta ambalo lipo nchi nzima. Diamond na ali kiba kutoshirik fiesta imemnyima kura nyingi walisema watangazaji hao.
Sasa mi celewi kama kweli hii inaweza kuwa sababu, pia inaonekana clouds wanaumia kutokuwa na wasanii hawa katika fiesta. Je ndo dalili za kumshusha mond zimeanza
Mi naona kuna mambo mengi nyuma ya pazia kama alivosema eddykenzo, kuna harufu ya mchezo mchafu. Pia diamond inaonekana wazi wasanii wenzake hawafurahishwi na mafanikio yake.
Vote for Kiba best african act
======
UFAFANUZI: Kupitia kipindi cha JAHAZI cha Clouds FM, Diamond aliulizwa kwanini hayupo kwenye list ya Wasanii wanaotumbuiza katika tamasha la FIESTA, msanii huyo (DIAMOND) alimuomba Meneja wake Babu Tale atoe ufafanuzi.
Babu Tale alisema kuwa Msanii wake Diamond anandoa na Vodacom Tanzania hiyo yeye kama Balozi wa Kampuni hiyo hawezi kushiriki Tamasha lililodhaminiwa na Kampuni pinzani yaani Tigo.
Wanakuu naomba ufafanuzi huu uwe mwanga katika mjadala huu.
=> Fuatilia Video hii kuanzia Dakika ya 16 Sekunde ya 50: