Clouds Radio: Kutoshiriki Fiesta kwamnyima tuzo Diamond

Clouds Radio: Kutoshiriki Fiesta kwamnyima tuzo Diamond

Hao clouds ni wapuuzi wanaongea ujinga. Category ya Diamond ilikuwa ngumu sn kushinda coz Wizkid amehit Africa nzima kwa mwaka 2016 kuliko msanii yeyote Africa. Sio Diamond tu WizKid hata aneshindanishwa na P square kwa mwaka huu bado angeshinda.
 
Habarini wana jamvini.
Leo toka asubuh nimekuwa nikisiliza vipindi mbali mbali katika radio yetu pendwa ya clouds fm, na moja ya vitu nilivosikia kutoka kwa watangazaji mbali mbali wa station hyo ni kutoa sababu kwanini wasanii wetu ali kiba na diamond wamekosa tuzo.

Sababu walizotoa ni kwamba ili kuweza kupata kura unapaswa kuwa karibu na mashabiki nchi nzima, na kwamba njia ya kuwafikia mashabiki kiurahsi ni kupitia tamasha la Fiesta ambalo lipo nchi nzima. Diamond na ali kiba kutoshirik fiesta imemnyima kura nyingi walisema watangazaji hao.
Sasa mi celewi kama kweli hii inaweza kuwa sababu, pia inaonekana clouds wanaumia kutokuwa na wasanii hawa katika fiesta. Je ndo dalili za kumshusha mond zimeanza

Mi naona kuna mambo mengi nyuma ya pazia kama alivosema eddykenzo, kuna harufu ya mchezo mchafu. Pia diamond inaonekana wazi wasanii wenzake hawafurahishwi na mafanikio yake.

Vote for Kiba best african act
Huyo aliyesema hivyo ni kichaa kabisa na pengine anapaswa kupimwa akili.
Diamond hawezi kushiriki fiesta sababu ni mkataba wake na vodacom unazuia
Pia kama hoja ni kushiriki Fiesta mbona Navy kenzo wameshiriki fiesta na hawakupata tunzo?
Kati ya uongo uliowai kuongelewa radioni ni huu na tena nilimsikia jana mtangazaji mmoja wa michezo hapo clouds akiongea hivyo nilidhani amechanganyikiwa kabisa.
Kura za watu si kigezo pekee cha kushinda tunzo husika watangazaji wanapaswa kupunguza kuropoka kwenye radio maaana wanaweza ongea mambo yakachukuliwa kama misimamo ya wamiliki wa radio kumbe ni maoni yao.
 
Kama mliangalia programme nzima, kuna kitu kimepangwa kuwakosesha wasanii toka tz, mpango mzima unaonekana pale yule presenter alipowataka wenzake waliokuwa wadada watatu waki present wachague msanii wa kukaa nae, wengi mnaweza msielewe ilikuwa ni nini, lkn ilikuwa ni yemi alade aende kukaa na Dimond. Ilikua ni mpango umeandaliwa kwenda kumliwaza! Wengi mtakuwa hamuelewi lkn mpango ndio huo, labda imeonekana TZ tunashinda sana katika fani za mambo mengi, big brother n.k, ikaonekana this time tukose, sababu zinaweza kuwa ni nyingi. Lkini itabakia wanamuziki wetu wamefanya vizuri sana mwaka huu pengine kuliko hata huko nyuma. Na siamini tumekosa hivi hivi, mpango umeandaliwa mahsusi kabisaa.
Kwaio mkuu,kwa maoni yako diamond na wiz kid nan alstahili au yemi alade na vanessa.
Tuwe fair tu kwa hili,ww unaonaje'
Walstahili mwaka huu au mpango uliandaliwa,
Et mkuu rayvanny na tekno'
 
Niko zangu Lindi nasikiliza Mashujaa Fm kusini sasa inaongea......nyie kaeni na mawingu yenu hukohuko
 
UFAFANUZI: Kupitia kipindi cha JAHAZI cha Clouds FM, Diamond aliulizwa kwanini hayupo kwenye list ya Wasanii wanaotumbuiza katika tamasha la FIESTA, msanii huyo (DIAMOND) alimuomba Meneja wake Babu Tale atoe ufafanuzi.

Babu Tale alisema kuwa Msanii wake Diamond anandoa na Vodacom Tanzania hiyo yeye kama Balozi wa Kampuni hiyo hawezi kushiriki Tamasha lililodhaminiwa na Kampuni pinzani yaani Tigo.

Wanakuu naomba ufafanuzi huu uwe mwanga katika mjadala huu.

=> Fuatilia Video hii kuanzia Dakika ya 16 Sekunde ya 50:
 
Kama mliangalia programme nzima, kuna kitu kimepangwa kuwakosesha wasanii toka tz, mpango mzima unaonekana pale yule presenter alipowataka wenzake waliokuwa wadada watatu waki present wachague msanii wa kukaa nae, wengi mnaweza msielewe ilikuwa ni nini, lkn ilikuwa ni yemi alade aende kukaa na Dimond. Ilikua ni mpango umeandaliwa kwenda kumliwaza! Wengi mtakuwa hamuelewi lkn mpango ndio huo, labda imeonekana TZ tunashinda sana katika fani za mambo mengi, big brother n.k, ikaonekana this time tukose, sababu zinaweza kuwa ni nyingi. Lkini itabakia wanamuziki wetu wamefanya vizuri sana mwaka huu pengine kuliko hata huko nyuma. Na siamini tumekosa hivi hivi, mpango umeandaliwa mahsusi kabisaa.
hivi kabisa kwa akili ya kawaida ulitegemea Diamond angechukua Tuzo mbele ya wizkid?!usijitoe akili Kwa mafanikio ya Wizkid mwaka huu alistahili kile alichopata muda mwingine tujifunze kukubali matokeo.

Na swala la kwenda Kukaa nao na mastaa pale juu sio issue..Bothang alipiga selfie na Emtee ambae alichukua Best Hip Hop na Yemi Alade alikwenda kwa Diamond ambae akupata kitu na watangazaji walizunguka kwa wasanii Kibao na kupiga nao selfie wabongo tukubali matokeo na kujipanga kwa next year.
 
Mi napita tu

Ukweli ndio huu.
Mm nilikuwa napanga kura.

2014, ( davido )
2015, ( davido )
2016, ( wiz kid )
2017, ( patoranking)
2018, ( ali kiba )
2019, ( cassper nyovest )
2020, ( joh makini )
2021, ( A.k.A )
2022, ( diamond platnumz )
2023, ( tekno miles )
2024, ( stone bwoy )
2025, ( Ycee )

Hiyo ndio list itakavyo kuwa kama huamini just keep watching.
 
Acheni undezi kwani diamond peke yake ndo alishindwa??? Kulkua na nominees wangap na mbna wengine wapo fiesta. Tumewachoka na pumba zenu


Tatizo huyo diamond sijui kokoto miyeyusho
 
Kama wanamuhitaji kwenye show zao basi watumie njia zingine kuongea nae, na sio kuongea mambo ya ajabu kama vile wanamtishia wao ndio wanaweza kumwezesha.
 
Bora nibaki mbarali kuliko kuchangamana na mapunga ya dar

Kila kuna kuna mi.choko


Dar kubwa hii ukiona umekaa na maachoko jiulize mara mbili inakuwaje? Inawezekana na wewe ukawa mmoja wao.
 
Hizi habari za kila siku diamond na ali kiba ndo zinadhoofisha mziki wetu. Yani haiwezekani kila siku watu wawili pekee ndo wapewe airtime kiasi hicho.
 
Clouds wanafikiria kwa kutumia masaburi. Mbona navykenzo wameenda fiesta then wameishia kukabidhi tuzo kwa wengine,?
 
Back
Top Bottom