Clouds sports extra ni kipindi dhidi ya Simba?

Online gani?Nina app kadhaa redio nyingi za Tanzania ni magumashi tu..muda mwingi ziko offline
Nimekuwa na hamu sana kuwa mpenzi wa vipindi vinavyosemwa sana kama sports arena ila bahati mbaya huku niliko sina chaguo zaidi ya clouds
Mzee huna bando nini? Radio zipo online unasema upo sehemu inasikika vlouds pekee!!![/QUOTE]
 
Ili Mikia wadominate mpira wa Tanzania ilibidi Bashite atumike na Azam waungane na mikia....Bongo bahati mbaya
 
Yanga wana wivu sana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo unadhani kila mahali ni TTF kwa Karia awabebe. Na msipobebwa mnaona mmeonewa
 

Ni Mtangazaji Mpumbavu na Redio ya Kipumbavu tu pekee ndiyo wataacha Kuijadili na Kuizungumzia Timu bora Tanzania ya Simba Sports Club.
 
Jamaa kweli asee wakizungumzia habar za yanga kama viongozi ama mashabiki wa utopolo fc.
Mfano ni uchambuzi wa mechi kati ya yanga vs azam..

Na barua ya malalamiko ya azam. Jamaa hata wakutaka kujadili kitu.
 
Mkono mtupu haulambwi
Mti wenye matunda ndio unaorushiwa mawe

Kwenye mafanikio ndiko kunakosemwa
Mara nyingi Maskini huwasema vibaya matajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…