Kuna kitu kinaitwa Target audience, ukikaa na mtoto mnaangalia tv hamtaelewana ,yeye Anataka vikaragosi wewe unataka siasa! Kuipenda clouds au kuichukua inategemea wewe ni nani katika maisha na una maono gani
Kuna kitu kinaitwa Target audience, ukikaa na mtoto mnaangalia tv hamtaelewana ,yeye Anataka vikaragosi wewe unataka siasa! Kuipenda clouds au kuichukua inategemea wewe ni nani katika maisha na una maono gani
Kwa kweli hawa jamaa wanaitaji pongezi sana kwa kufikia apa walipo,napenda programs zao,ni wabunifu sana,nilikuwa nasikilizaga apo awali(sio sasa),kuanzia power breakfast,hekaheka,xxl,na kile cha kina kibonde,amplifaya,sports extra na kipindi cha diva,wanajitahidi kutoa burudani inayokonga nyoyo za mashabiki,hongereni kwa hilo,mengine myafanyie kazi kabla raia hawajawachoka,mimi ni one of ANACONDA TEAM...
Redio Wapo Fm na Redio Tumaini ndio redio bora kabisa. wapenda ujinga kama wewe ni lazima uipende Clouds Fm.
East Africa Radio itawapiga chini SOON
hivi haujatukanwa muda mrefu sindio??wewe hausiki kilio cha wasanii wanavyonyonywa na hao clouds fm kwakua wao wame dominate market of music industry.