Clouds TV imeanza kuwa kituo cha kutetea wauza madawa ya kulevya


Kua serious na mada..
Hujawa specific na chochote.
Uandishi sio hivi!
 
Eti oh nlichomekewa sijui

Nilibeba mzigo wa mtu,mm mwenyewe sikujuwa

Ova
Kuna siku alihojiwa akakiri indirect japo alisema pia hataki kulizungumzia ila akasema hayuko proud kilichomtokea sasa leo anakana tena.
 
Usidanganyike na comments za watu hayo maelezo yanajitosheleza kabisa. Zama hizi usianzishe vita ambayo huwezi kupigana.
Maelezo yanajotoshelezaje wakati hakuna kinachoeleweka?
 
Yaani hiki kituo toka amefariki Ruge kimepoteza mwelekeo, hakina mvuto tena
 
Afu unaenda kumla 0713 huyo manzi ukidhani unamkomoa kumbe mwenzako anapitishaga pipi za madawa ya kulevya zenye jumla ya uzito wa 1.1kg kwny ass yake πŸ˜„πŸ˜„.Mtakufa wanaume wa Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…