wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Hio Ni kweli mkuu,lkn mimi tangu clouds tv imeanzishwa sikuwahi kuona Kama ilikua na vipindi vya maana.Kuanzia sauti, picha,maudhui Zilikua hovyo hovyo tu.Basi tuseme hawa wengine wanatembelea majina na ukongwe kwenye game! creativity imelala
Ndo wanazingua sasa aisee, wanazidi kudorola kila sikuNadhani hata watangazaji wenyewe wamebaki ki-maslai tu kwa sasa (mpunga si unaingia?) hayo mengine wanaona wawaachie BBC!
Unawajua wamiliki wa Clouds na wamiliki wa Wasafi? Wanahisa wa Wasafi Media ni wanne na wanahisa wa Clouds ni familia ya Joseph Kusaga na nduguza zake pamoja na familia nyingine tatu.Wanawakabaje Koo wkt clouds na wasafi mmiliki wake ni mmoja?
Si unajua anayemiliki hivo vituo ni mtu mmoja?Wasafi wamewapiga bao mkuu, wana tour kama ilivyokua fiesta. Wana mavipindi ya vijana wa masiku haya.
Clouds haieleweki ni channel ya siasa, michezo au burudani. Vipindi vyao hubadilika kulingana na upepo wa kisiasa wa wakati huo.
Wasafi wao wamebase kwenye michezo na burudani kama ilivyokua clouds ya late Ruge na ishu nyingine kwa mbaali ila kwa sasa siasa humo humo. Sifia sifia ya watangazaji wa clouds itakuacha kinywa wazi.
Ukiangalia kipindi cha msumari wa moto cha wasafi na kile cha kina kipanya clouds wale jamaa wanajockes za ajabu ajabu sana kazini.
Sawa umesikika mke wa mmoja wa wamiliki wa Wasafi.Unawajua wamiliki wa Clouds na wamiliki wa Wasafi? Wanahisa wa Wasafi Media ni wanne na wanahisa wa Clouds ni familia ya Joseph Kusaga na nduguza zake pamoja na familia nyingine tatu.
Aya we mjuaji tutajie wadau/wana hisa wa Wasafi ambao ni wamiliki wa clouds pia.
Hata akiwa mmoja lakini ni vituo tofauti ndgu.Si unajua anayemiliki hivo vituo ni mtu mmoja?
Ki fupi clouds media kwenye upande wa tv walikurupuka tu, toka ianze haijawahi kuwa kwenye kiwango kinachotakiwa kuwa, kulinganisha na radio!!Na siku zinavyozidi kwenda ndio wanazidi kupotea kabisa, bora hata sasa hivi chanel ten kwani nayo daa!!Kweli kabisa hiko kipindi wanakiita sentro actually ubunifu wa kile kipindi ni mzuri sana na vile ualika wageni mbalimbali ila shida yao ni moja kuna mambo hufanya mbele ya kamera uwa siyapendi mfano
Iko siku wanaleta habari za ubishani juu ya familia zao kitu ambacho hakituusu
Ila pia vile muda mwingine yule mwongoza kipindi babra anavyokomandi mambo either kwa mtoa habari kuchelewa ni kama hawakujipanga lakini pia uonesha uso wa hasira wazi wazi
Kipindi ni kizuri ila wanaokiwasilisha wapunguze uswahili na wawe serious na kipindi tu