Clouds Tv shida ni nini?

Clouds Tv shida ni nini?

Basi tuseme hawa wengine wanatembelea majina na ukongwe kwenye game! creativity imelala
Hio Ni kweli mkuu,lkn mimi tangu clouds tv imeanzishwa sikuwahi kuona Kama ilikua na vipindi vya maana.Kuanzia sauti, picha,maudhui Zilikua hovyo hovyo tu.
 
Wanawakabaje Koo wkt clouds na wasafi mmiliki wake ni mmoja?
Unawajua wamiliki wa Clouds na wamiliki wa Wasafi? Wanahisa wa Wasafi Media ni wanne na wanahisa wa Clouds ni familia ya Joseph Kusaga na nduguza zake pamoja na familia nyingine tatu.
Aya we mjuaji tutajie wadau/wana hisa wa Wasafi ambao ni wamiliki wa clouds pia.
 
Wasafi wamewapiga bao mkuu, wana tour kama ilivyokua fiesta. Wana mavipindi ya vijana wa masiku haya.

Clouds haieleweki ni channel ya siasa, michezo au burudani. Vipindi vyao hubadilika kulingana na upepo wa kisiasa wa wakati huo.

Wasafi wao wamebase kwenye michezo na burudani kama ilivyokua clouds ya late Ruge na ishu nyingine kwa mbaali ila kwa sasa siasa humo humo. Sifia sifia ya watangazaji wa clouds itakuacha kinywa wazi.

Ukiangalia kipindi cha msumari wa moto cha wasafi na kile cha kina kipanya clouds wale jamaa wanajockes za ajabu ajabu sana kazini.
Si unajua anayemiliki hivo vituo ni mtu mmoja?
 
Unawajua wamiliki wa Clouds na wamiliki wa Wasafi? Wanahisa wa Wasafi Media ni wanne na wanahisa wa Clouds ni familia ya Joseph Kusaga na nduguza zake pamoja na familia nyingine tatu.
Aya we mjuaji tutajie wadau/wana hisa wa Wasafi ambao ni wamiliki wa clouds pia.
Sawa umesikika mke wa mmoja wa wamiliki wa Wasafi.

Msalimie Juhayna Zaghalulu Ajmy hapo Wasafi.
 
Kweli kabisa hiko kipindi wanakiita sentro actually ubunifu wa kile kipindi ni mzuri sana na vile ualika wageni mbalimbali ila shida yao ni moja kuna mambo hufanya mbele ya kamera uwa siyapendi mfano

Iko siku wanaleta habari za ubishani juu ya familia zao kitu ambacho hakituusu

Ila pia vile muda mwingine yule mwongoza kipindi babra anavyokomandi mambo either kwa mtoa habari kuchelewa ni kama hawakujipanga lakini pia uonesha uso wa hasira wazi wazi

Kipindi ni kizuri ila wanaokiwasilisha wapunguze uswahili na wawe serious na kipindi tu
Ki fupi clouds media kwenye upande wa tv walikurupuka tu, toka ianze haijawahi kuwa kwenye kiwango kinachotakiwa kuwa, kulinganisha na radio!!Na siku zinavyozidi kwenda ndio wanazidi kupotea kabisa, bora hata sasa hivi chanel ten kwani nayo daa!!
 
Kama mmetumwa na Wasafi media kawaambieni bado saaaanaa kuwafikia.......wajipange zaidi.
 
Back
Top Bottom